• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Kuanzishwa kwa Dawati la Malalamiko

10 January 2018

TAARIFA KWA WANANCHI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI KUHUSU KUANZISHWA KWA DAWATI LA MALALAMIKO.

Mkurugenzi Mtendaji (W) Bwana Raphael J. Siumbu anawatangazia kuwa Dawati la Malalamiko (Complaints Resolution Desk) limeanza rasmi tarehe 07/02/2017. Huduma za dawati zitatolewa bila malipo yoyote, kwa muda mfupi na kwa usawa.

Mfumo huu wa utatuzi wa malalamiko pamoja na shughuli za Dawati utaendeshwa kwa kufuata Mwongozo wa ushughulikiaji wa malalamiko ya Wananchi katika utumishi wa umma uliotolewa na Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma Desemba 2012. Hata hivyo, si malalamiko yote yatakayokuwa yakipokelewa na kutatuliwa na Dawati. Ni yale tu yatakayokuwa yamekidhi vigezo vilivyowekwa kwa mujibu wa Mwongozo Baadhi ya vigezo hivyo ni pamoja na:

  1. Taratibu: Malalamiko yanayolalamikia sheria, kanuni na taratibu.
  2. Taarifa: Malalamiko yanayosababishwa na wateja kukosa taarifa za jambo husika na kupata usumbufu au kukosa huduma.
  3. Watumishi: Malalamiko kwa Watumishi yapo katika makundi makuu mawili, kundi la watoa huduma (backstage) na kundi la mapokezi (front desk).
  4. Vifaa: Malalamiko yanayohusu vifaa vinavyotumika ama Vifaa ambavyo vipo lakini havitumiki kutoa huduma.
  5. Wateja: watumishi na wananchi wasiotaka kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo ama wasioridhika na uamuzi ulio.

Dawati la malalamiko linasimamiwa na Bw. Peter J. Lehhet anayepatikana katika ofisi ya TEHAMA na Bi. Teresia A. Irafay anayepatikana katika Ofisi ya Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii. Wananchi pamoja na watumishi wanapaswa kuleta malalamiko kila siku ya Alhamisi kuanzia Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 9:30 Jioni. Malalamiko yanaweza kuwasilishwa kwa njia ya posta, ana kwa ana, au barua pepe ya Dawati. Mawasiliano yetu ni Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Ngorongoro S.L.P 1, Loliondo; namba za simu ni 0755 741 738 Bw. Peter Juma na 0762 362 950 Bi. Teresia Irafay.

Halmashauri ipo mbioni kuanzisha tovuti yake ambayo itakuwa na ukurasa mahsusi kwa ajili ya kuelezea madhumuni, shughuli na mambo yote yanayohusu Dawati na kutoa elimu kwa njia mbalimbali, ikiwemo matumizi ya vyombo vya habari, machapisho na mihadhara mbalimbali ili kukuza uelewa wa wananchi na watumishi kuhusu huduma hii mpya.

Imetolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI CHANJO NA DAWA KINGA ZA MAGOJWA YA MINYOO NA TRAKOMA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO.

    May 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.