• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

BARABARA YA WASSO-LOLIONDO KM 10 KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KUANZIA MWEZI DECEMBER MWAKA HUU.

Posted on: October 29th, 2022


BARABARA YA WASSO-LOLIONDO KM 10 KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KUANZIA MWEZI DECEMBER MWAKA HUU



Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongela leo katika kikao cha Maendeleo ya Mkoa (RCC) kilifanyika jijini Arusha



Mongela amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu hasani amekwisha kutoa fedha kwaajili ya barabara hiyo kutengenezwa ambapo amesema kinachosubiriwa ni utaratibu wa kumpata mkandarasi, hata hivyo Mongela amesema hadi kufikia mwezi wa Desemba mwaka huu wa 2022 barabara hiyo itakuwa imekwishanza kwa kuwa michakato yote ipo katika hatua za mwisho



Akizungumza na mwandishi wetu, mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngorongoro Mhe. Mohammed Bayo Marekani ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Ologosorock ambapo inachukua eneo lote la kilomita 10 zitakazotengenezwa kwa kiwango cha Lami, amemshukuru Mhe. Rais kwa maamuzi hayo ya kutengeneza barabara hiyo ambapo amesema kutengenezwa kwa Barabara hiyo kutaufanya mji wa Loliondo ambao ndio makao makuu wa Wilaya kuwa na hadhi ya makao makuu kama ilivyo kwa makao makuu mengine ya wilaya, Mwenyekiti amesisitiza kuwa wananchi wa Loliondo na Wilaya yote ya Ngorongoro wamefurahishwa na jambo hilo, lakini pia amesema sio tu suala la Barabara ipo miradi mingi inayotekelezwa katika wilaya ya Ngorongoro ambapo Mhe Rais aipatia fedha nyingi ikiwemo miradi ya Elimu, afya, maji, barabara za vijijini, nk ambapo amesema wananchi wameipokea na kumpongeza Mhe Rais



Mwenyekiti amesema pamoja na Barabara ya WASSO-LOLIONDO km 10 lakini RC Mongela pia aligusia Barabara ya Loliondo-Mtowambu ambapo amesema serikali ipo katika hatua ya kutafuta fedha kwaajili ya kuendeleza matengenezo ya kiwango cha Lami kutoka Sale Juction hadi Mtowambu km 164 zilizobaki ambapo amsema itaendelea kutengenezwa kwa awamu kadiri fedha zitakavyopatikana 



Kwa upande wa miradi ya maji Mwenyekiti wa Halmashauri amesema kupitia kikao cha RCC serikali imesema lengo ni kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama katika Maeneo yao vya vijijini, ambapo kikao kimeweka mikakati ya kuisukuma serikali kutoa fedha ili kukamilisha miradi ya maji ambavyo ni viporo na pia miradi mingine isiyo ya maji lakini ni viporo


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.