• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

*BILIONI 88 ZATOLEWA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA, KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO NGORONGORO.

Posted on: September 2nd, 2025

. _Rc Makalla apokelewa kwa shangwe, akifanya ziara yake Wilayani Ngorongoro

. Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa miradi mingi ya maendeleo_

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla amefanya ziara ya Kikazi Wilayani Ngorongoro leo Jumanne Septemba 02, 2025, akimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kwa kutoa zaidi ya Bilioni 88 kwaajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo Wilayani humo, ikiwemo Bilioni 18.9 zinazotekeleza miradi 17 ya Maji kwenye Kata mbalimbali za Ngorongoro.

Mhe. Makalla ameyaeleza hayo mara baada ya kupokelewa Wilayani Ngorongoro na kuzungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, akimpongeza pia Mkuu wa Wilaya hiyo Brigedia Jenerali Wilson Christian Sakulo kwa kuongeza makusanyo kwenye sekta ya mifugo kutoka Shilingi Milioni 13 kwa mwaka hadi zaidi ya Milioni 200 na kusema fedha hizo zitasaidia kuongeza uwezo wa Halmashauri hiyo katika kuwahudumia wananchi.

"Wilaya ya Ngorongoro inapokea fedha nyingi, miradi mingi mfano ukichukulia tu sekta ya maji, Wilaya hii ya Ngorongoro ina miradi 17 ya maji inayotekelezwa kwa wakati mmoja na katika miradi hiyo ya Maji Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta fedha bilioni 18.9 kutekeleza miradi hiyo na Sale yenyewe ina mradi wa maji" amesema Mhe. Makalla.

Aidha katika salamu zake, Mkuu wa Mkoa mbali ya kuhimiza kushirikiana pamoja katika kuwaletea wananchi maendeleo na kutimiza maono ya Rais Samia katika kuwatumikia wananchi, amesisitiza umuhimu wa Viongozi wa Wilaya hiyo kuendelea kulinda na kudumisha amani na utulivu katika kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu ili kuruhusu wananchi kushiriki kikamilifu kwenye kampeni na uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.


Awali katika maelezo yake, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro ameeleza pia kuwa hali ya ulinzi na usalama katika Wilaya hiyo ni shwari na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo unaendelea vyema, akieleza pia kuhusu  uwezeshaji wa wananchi kiuchumi ambapo kwa mwaka 2024/25, Jumla ya shilingi Milioni 634 zimetolewa kwa vikundi 130 vya wanawake, Vijana na wenye ulemavu.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • *BILIONI 88 ZATOLEWA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA, KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO NGORONGORO.

    September 02, 2025
  • DED NGORONGORO AWAONGOZA WATUMISHI KSHIRIKI ZOEZI LA USAFI HOSPITALI YA WILAYA

    August 13, 2025
  • MAFUNZO YA SIKU 3 KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA NGORONGORO.

    August 05, 2025
  • JIFUNZE MBINU ZA KILIMO BORO KWENYE BANDA LA KILIMO LA HALMASHAURI YA WILAYA NGORONGORO MAONESHO YA NANE NANE 2025

    August 03, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.