• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KIKAO CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE ROBO YA PILI:.

Posted on: February 8th, 2024


Ikiwa ni katika kuboresha hali ya lishe ili kutokomeza udumavu kwa Watoto, leo tarehe 08 Februari 2024 Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro imefanya Kikao cha tathimini ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha robo ya pili ya Mwezi Oktoba hadi Disemba 2023

Kikao hicho kimehudhuriwa na Bw. Hamza Hamza, Katibu Tawala Wilaya ya Ngorongoro kama mwenyekiti wa kikao kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bw. Nassoro Shemzigwa pamoja na Wajumbe wengine wa Kikao hicho

Katika kikao hicho Bw. Hamza amewataka Watendaji wa vijiji, Kata, Katibu tarafa kushirikiana na Maafisa lishe ili kusaidia katika uboreshaji na kuimarisha hali ya lishe ndani ya Wilaya


Bw. Hamza amesema "lengo ni kufanya vizuri kwenye suala zima la lishe hivyo inabidi tushirikiane ili tuweze kuwa katika hali nzuri ya kiafya na kulinda afya za Watoto wetu ili kuepuka udumavu"

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji Bw. Nassoro Shemzigwa amesema kuwa ili tuweze kuwa na tathimini nzuri ni muhimu kutengeneza utaratibu wa kujipima wenyewe.


" Lazima tujiwekee malengo kwa kila kipindi ili tuweze kujipima wenyewe mbali na mifumo iliyowekwa ili tuweze kufanya vizuri kwenye mifumo na katika kipimo chetu wenyewe" amesema Shemzigwa.

Hata hivyo Afisa lishe Wilaya Bi. Mariamu amewasilisha taarifa ya tathimini kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba 2023 iliyoonesha ziara za usimamizi shirikishi zimefanyika katika vituo 38 vinavyotoa huduma za mama na mtoto ili kusambaza Vitamin A, pamoja na ufuatiliaji wa Ubora wa huduma za lishe,  jumla ya Watoto 42,172 chini ya miaka mitano walipatiwa matone ya Vitamin A

Aidha taarifa imeonyesha Shule 94 zilizopo Wilaya ya Ngorongoro zinatoa chakula walau mlo mmoja kwa siku, pia upimaji na utoaji wa elimu ya lishe kwa Wanafunzi umefanyika katika Shule 21 zilizotembelewa zenye jumla ya Wanafunzi 1,134 kuanzia darasa la awali na darasa la saba wamefanyiwa uchunguzi wa hali ya lishe ambapo Wanafunzi 1,127 sawa asilimia 99 wanahali nzuri huku Watoto saba sawa na asilimia 0.6 walikua na hali mbaya ya lishe na juhudi zilifanyika kuwahudumia Watoto hao pamoja na elimu ya lishe bora ilitolewa ili kuepuka matatizo yatokayo na lishe.


"Upimaji wa afya, elimu kwa vitendo ya upikaji  na utumiaji wa vyakula vya nyongeza inatolewa kwa akinamama wajawazito" amesema Afisa lishe

Ikumbukwe Serikali ya awamu ya sita imeipa kipaumbele sekta ya afya na upande wa lishe ili kuboresha, kuimarisha afya za Watoto na kuondoa hali ya udumavu kwa Watoto kwa lengo la kuwa na kizazi bora na chenye afya timamu.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.