• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MAELEKEZO YA MAKAMU WA RAIS DKT PHILIP MPANGO YATEKELEZWA NGORONGORO

Posted on: May 4th, 2023

Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Arusha imetekeleza maelekezo yaliyotolewa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wakuhakikisha wanapelekea mtambo wa kuchimba visima katika kijiji cha Sale.


Maelekezo hayo yalitolewa Mnamo Mei 18,2023 wakati Makamu wa Rais alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Ngorongoro na kukutana na changamoto ya Maji katika Tarafa ya Sale.


Akizungumza wakati wa mapokezi ya mtambo huo wa kuchimba visima Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mwangwala ameishukuru RUWASA kwa kutekeleza maelekezo hayo kwa wakati.


Amesema kuletwa kwa Mtambo huo wa kuchimba Visima katika Tarafa ya Sale ni matokeo ya ziara hiyo ambayo italeta matokea makubwa ikiwemo kuondoa changamoto ya Maji.


Mwangwala amesema mtambo huo utachimba visima vyote katika Wilaya hiyo hasa yale maeneo ambayo yameshafanyiwa utafiti wa upatikanaji wa Maji.


Aidha, amewataka wanaojishughulisha na uchimbaji mabwawa pia nao wangeanza kazi yakuchimba kwani hata mifugo inahitaji maji.


Nae, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngorongoro Dkt.  Juma Muhina,ameomba mtambo huo ukachimbe visima katika maeneo yote ya Wilaya hiyo na sio katika kijiji cha Sale pekeyake.


Amesema mtambo huo ni Mkombozi katika Wilaya hiyo kwani tatizo la maji ni kubwa hasa kipindi cha ukame na utawezesha upatikanaji wa Maji kwa kiasi kikubwa.


Kwa upande wake Meneja wa RUWASA Mkoa wa Arusha Joseph Makaidi amesema kwa kupatiwa mtambo huo kumerahisha hata kutekeleza maagizo hayo ya Mhe. Dkt. Philip Mpango kwani tayari walikuwa wameshapatiwa mtambo huo.


Mpango uliopo kupitia ilani ya CCM ni kuhakikisha vijiji vipate Maji kwa 85% au zaidi ifikapo 2025.


Amesema tatizo lililopo katika Kijiji cha Sale ni upungufu wa Maji hivyo mtambo huo unaenda kuongeza kiwango cha Maji kwa uchimbaji wa Visima vya kutosha.


 Makaidi amesema Mtambo huo ni moja ya Mitambo 25 iliyotolewa na Serikali ya awamu ya sita ili viweze kufanya kazi ya kuleta Maji kwa wananchi kwa lengo la kumtua Mama ndoo kichwani.


RUWASA walipatiwa maelekezo ya ndani ya siku 3 kuhakikisha Mtambo huo ufike katika Kijiji cha Sale kwa ajili yakuanza kuchimba Visima na wameweza kutekeleza agiza hilo ndani ya muda.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.