• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

NGORONGORO KINARA VIASHIRIA VYA LISHE

Posted on: February 20th, 2023

Wilaya ya Ngorongoro imenufaika na pikipiki Saba ( 7)zilizotolewa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa watendaji wa kata ili kuwasaidia kuwahudumia wananchi kwa urahisi zaidi.

Hayo yameelezwa leo Feb 18, 2023 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro Dkt. Juma Mhina katika kikao Kazi  cha lishe kitaifa ngazi ya wilaya ambacho kimehusisha Ofisi ya mkuu wa Wilaya ,Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na Maafisa Watendaji wa kata Wilayani hapa.


Ambapo amewasihi watendaji wote wa kata kusimamia udhibiti wa ukusanyaji wa mapato hasa katika minada,kusaidia maafisa biashara uhamasishaji wa ukataji leseni za biashara katika maeneo yao na kuwasimamia viongozi wengine katika kata na vijiji kama vile Mafisa  elimu kata kwani wao ni wawakili wa Mkurugenzi katika kata.


Na kuhusiana na lishe amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa pikipiki NNE(4) ambazo zinasaidia kufikiwa wananchi na wataalam wa lishe hivyo kupelekea wilaya ya Ngorongoro kuwa wa kwanza katika Mkoa wa Arusha kwenye viashiria vya lishe hivyo  amewataka watendaji  kusimamia mikataba ya lishe katika maeneo yao ili kuinua zaidi hali ya lishe hasa kwa watoto akisisitiza kua mtoto asie na lishe bora hawezi kuwa na ukomavu wa uelewa yani akili .


"Kutokuhudhulia klinik katika miezi ya kwanza ya ujauzito na kutozingatia mlo kamili kwa watoto zimetajwa kama changamoto kubwa zinazosababisha uduumavu kwa watoto katika jamii" amesema Dkt Mhina


Afisa mtendaji kata ya kirangi ndugu Paulo Azael anasema watahakikisha wanatekeleza maelekezo yote waliyopewa ikiwemo ya kusimamia mikataba ya lishe,kwa upande wake Christina Agustino kaimu Afisa mtendaji kata ya Digodigo anasema ushiriki wa wanaume ni mdogo katika malezi hasa ya lishe kwa watoto.


Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO MWAKA 2020 February 14, 2020
  • MLIPUKO WA KIPINDUPINDU WILAYA YA NGORONGORO May 07, 2018
  • KUUZAJI WA VIWANJA MJI WA WASSO May 11, 2018
  • MUDA WA NYONGEZA JUU YA MAOMBI YA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO June 13, 2018
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO WA KUPOKEA MAONI YA UUNDAJI WA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI

    February 28, 2023
  • NGORONGORO KINARA VIASHIRIA VYA LISHE

    February 20, 2023
  • UTAPIA MLO WASHUKA KWA 0.6% WILAYA YA NGORONGORO.

    February 09, 2023
  • TAASA YAKABIDHI BWENI LA WAVULANA SHULE YA MSINGI OLOLOSOKWAN

    February 04, 2023
  • Tazama zaidi

Video

https://www.youtube.com/watch?v=BMud_vpj7i0
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.