• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TATHMINI UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE YABAINISHA, WATOTO 30,940 WAKUTWA NA HALI NZURI YA LISHE NGORONGORO.

Posted on: December 19th, 2024

Kikao cha tathmini ya shughuli za utekelezaji wa lishe kipindi cha robo ya kwanza ya Julai hadi Septemba 2024 kimedhihirisha kuwa jumla ya watoto 30,940 walikutwa na hali nzuri ya lishe ambayo ni sawa na asilimia 92.81 baada ya kufanyiwa tathmini ya lishe.

Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 19 Desemba 2024 katika ukumbi wa Mkutano wa Halmashauri na kimeongozwa na mwakilishi wa mkuu wa  Wilaya ya Ngorongoro Ndg. Boniface Lugola ambaye ni Afisa Tawala Wilaya.


Hali ya lishe kwa Watoto imeendelea kuimarika kutokana na kuongezeka kwa asilimia za hali nzuri ya lishe. Mwenyekiti wa kikao hicho amewapongeza Wataalamu wa lishe na wadau wa afya kwa kazi nzuri waliofanya kudumisha hali nzuri ya afya na lishe kwa watoto.

"Tunawapongeza sana Maafisa lishe, Watendaji wa kata na Wataalamu wengine kwa kweli mmefanya kazi kubwa,  hivyo tuendelee kufanya kazi ili kuitokomeza kabisa hali mbaya ya lishe kwa watoto wilayani kwetu".amesema Ndg. Lugola


Afisa lishe Bi. Angela Mbaga wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba 2024, amesema jumla ya Watoto 33,337 walifanyiwa tathmini ya hali ya lishe huku idadi ya Watoto 30,940 sawa na asilimia 92.81 walikutwa na hali nzuri ya lishe na asilimia 6.95 sawa na watoto 2, 317 walikutwa na hali mbaya ya lishe.

Bi.Angela Mbaga ameendelea kueleza kwa kipindi chote cha miezi mitatu walifanya maadhimisho ya siku ya afya na lishe katika kata saba (7) kati ya kata 28, kata zilizofanyiwa maadhimisho ni kata ya Maalon, Ololosokwan, Oloipiri, Kirangi, Orgosorock, Enguserosambu na Olorien Magaiduru, maadhimisho hayo yalihusisha utoaji wa huduma za kliniki ya MKOBA, upimaji wa hali ya lishe kwa watu wazima na kutoa ushauri na nasaha kuhusu lishe bora kulingana na hali za lishe.

Sanjari na hilo jumla ya akina mama 12,156 kati ya 12,511 walipatiwa vidonge vya madini chuma ili kuboresha hali ya afya kwa wajawazito, pia elimu ya lishe ya makundi ya chakula, uandaaji wa mlo kamili na chakula cha nyongeza kwa watoto wadogo ziliendelea kutolewa.


Aidha, mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa Wajumbe wa afya kuendelea kusimamia vyema shughuli za lishe katika jamii kuanzia shuleni,  nyumbani na kuhimiza miti ya matunda kuanza kupandwa mashuleni kama sehemu ya kampeni ya ulaji wa matunda kwa watoto na watu wazima katika jamii.

"Licha yakuwa tuna viashiria vizuri vya hali ya lishe, naomba tulichukue hili kama azimio sisi kama wajumbe tuhakikishe miti ya matunda inapandwa katika shule zetu, rai yangu siku ya maadhimisho ya huru wa Tanzania bara tulipanda miti ya matunda shule ya msingi Wasso hivyo rai yangu tukapande miti ya matunda ya kutosha katika shule zetu".- Ndg. Boniface Lugola.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.