• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

Posted on: February 10th, 2026

Divisheni ya Afya kupitia Kitengo cha Lishe Wilaya ya Ngorongoro imeaswa kuwafuatilia kwa karibu watoto waliobainika kuwa na utapiamlo mkali, kwa lengo la kuondoa hali ya udumavu na kuimarisha lishe bora miongoni mwa watoto hao, huku jamii ikihimizwa kutoa ushirikiano katika juhudi hizo.

Rai hiyo imetolewa leo tarehe 10 Februari, 2026 na Afisa Tawala wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Boniphace Lugola, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, wakati wa kikao cha tathmini ya lishe ngazi ya wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya.

Bw. Lugola amesema kuwa licha ya idadi ya watoto wenye utapiamlo mkali kuonekana kuwa ndogo, bado kunahitajika juhudi za pamoja katika kuwabaini, kuwatibu na kufuatilia maendeleo yao hadi hali zao za afya zitakapokuwa imara.

Aidha, Bw. Lugola amesisitiza kuwa jamii isiyo na udumavu ndiyo msingi wa maendeleo endelevu, akipongeza Divisheni ya Afya chini ya Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) pamoja na timu ya lishe kwa kuendelea kufanya ukaguzi wa vyakula, upimaji wa afya kwa wahudumu wa vyakula migahawani na hotelini, pamoja na kuimarisha usafi wa mazingira.


Akiwasilisha taarifa ya tathmini ya lishe, Afisa Lishe wa Wilaya, Bi. Angela Mbanga, amesema kuwa kitengo hicho kimeendelea kutoa huduma za matibabu kwa watoto wenye utapiamlo mkali katika Hospitali ya Wilaya, Hospitali ya Wasso na Endulen. 

"kati ya watoto 64,084 waliotarajiwa kufanyiwa tathmini ya lishe, watoto 59,774 sawa na asilimia 93.27 walipimwa hali ya lishe kwa kuangalia uwiano wa uzito kwa umri. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watoto 58,628 sawa na asilimia 98.08 walibainika kuwa na hali nzuri ya lishe, watoto 1,078 sawa na asilimia 1.8 walikuwa na hali hafifu ya lishe, huku watoto 68 sawa na asilimia 0.11 wakibainika kuwa na hali mbaya ya lishe"-Bi. Anjela


Wajumbe wa kikao hicho wakiwemo viongozi wa dini na maafisa watendaji wa kata, wamepongeza juhudi zinazofanyika na kuhimiza kuendelea kutolewa kwa elimu ya lishe bora kwa jamii, ikiwemo ulaji wa mlo kamili, upandaji wa miti ya matunda na uanzishwaji wa bustani za mbogamboga shuleni.

             

    https://www.instagram.com/p/DUlLMJWCtU0/?img_index=6&igsh=MWMycGd4aTdrYXN3

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

    February 10, 2026
  • SERIKALI YATOA FEDHA BILIONI 19. 513 KUPELEKA UMEME KWENYE VITONGOJI 127 ARUSHA.

    February 04, 2026
  • SIKU YA SHERIA YAADHIMISHWA WILAYANI NGORONGORO.

    February 02, 2026
  • SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA UJENZI WA MIUNDO MBINU NA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI NGORONGORO.

    January 12, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.