• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

SHIRIKA LA UNESCO, KOICA NA FAWE TZ WAWEZESHA MAFUNZO JUU YA VITENDO VYA KIKATILI WA KIJINSIA KWA WANAFUNZI MASHULENI.

Posted on: April 15th, 2019

Ngorongoro-Arusha

Wadau wa Maendeleo Shirika la Umoja  wa mataifa  la Elimu Sayansi na Utamaduni  UNESCO  na FAWE Tz  kupitia ufadhili wa shirika la Maendeleo la Korea ya kusini (KOICA – Korea International Cooperation Agency )  wametoa  Mafunzo ya Malezi na unasihi  katika shule ya Sekondari Digodigo iliopo Tarafa ya Sale wilayani Ngorongoro.

Mafunzo hayo ya siku tatu  yamewahusisha  Maafisa Elimu Kata, wakuu wa shule za msingi na sekondari na Walimu wa Malezi na Nasihi mashuleni  yenye lengo la kuwajengea  uwezo  walimu  ili kuboresha  mifumo ya kunasihi  na malezi   kwa wanafunzi  mashuleni hasa wasichana .

Akizungumza na washiriki  wa mafunzo hayo, mkufunzi kutoka  FAWE   Bw; Buheri Richard Thomas Amesema mafunzo haya  yatawasaidia  washiriki kupata elimu zaidi kuhusu  malezi na unasihi  na kuongeza ufahamu juu ya  mbinu anuai za kulea watoto na kutatua  changamoto zinazowakabili.

Mgeni  rasmi katika mafunzo haya  Bw; Emanuel Mhundo akimwakilisha Katibu Tawala Mkoa amewataka washiriki  kuonyesha ushirikiano kwa wakufunzi  ili kuweza kufikia malengo  ya pamoja ikiwa ni kupunguza utoro kwa wanafunzi pamoja na mimba kwa wanafunzi.

Hata hivyo Bw Mhundo amewashukuru wadau wa maendeleo na wawezeshaji   Shirika la UNESCO na  FAWE Tz  kupitia ufadhili wa shirika la maendeleo la Korea ya Kusini (KOICA – Korea International Cooperation Agency ) kwa kushirikiana na serikali katika kutoa elimu kwa maafisa elimu Kata ambao ndio walezi wakuu wa wanafunzi wawapo mashuleni.

Bwana Muhundo amewataka  washiriki  hao  kuweka  mikakati thabiti ili kutokomeza mimba  na vitendo  vya kikatili kwa watoto wa kike ikiwemo  kuwa na orodha ya wanafunzi waliopatiwa huduma ya malezi na unasihi, Maafisa Elimu  kutekeleza maagizo ya serikali ya kuwachukulia hatua watuhumiwa wa mimba kwa wanafunzi ,kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kutolea unasihi shuleni  na pia  kuwashirikisha wazazi au walezi pamoja na jamii juu ya mahitaji na malezi bora kwa watoto.

Kwa upande wa Washiriki Bw.Fabian Keha amesema mafunzo haya ni chachu ya kuongeza jitihada na mbinu mbalimbali za kutoa malezi bora kwa  watoto mashuleni hasa wasichana ambao mara nyingi ni waoga kuwashirikisha wazazi au walezi  kuhusu mahitaji na changamoto wanazokumbana nazo kutokana na  mila na desturi zisizo rafiki.

Imetolewa na

Kitengo cha Habari na Maelezo 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.