• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC-MWANGWALA AAGIZA HUDUMA YA UPASUAJI NA MAABARA KUANZA KUFANYA KAZI ZAHANATI YA SALE..

Posted on: September 19th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe.Raymond Mwangwala ameendelea ziara ya Siku  ya pili ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo  na kusikiliza na kutatua kero za wananchi ndani ya Kata  ya Sale

Akikagua Zahanati ya Sale  Mhe.Mwangwala amesema serikali imeendelea  kuboresha Huduma ya Afya kwa wananchi na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan alitoa kiasi cha Millioni 500 kwaajili ya kumalizia maboma ya  Zahanati ya Sale yaliyoanzishwa Kujengwa kwa nguvu za wananchi na sasa  vimeletewa vifaa vya Maabara na Upasuaji vyenye thamani ya Million 84.

"Baada ya Wiki mbili nataka kuona Huduma ya Upasuaji na maabara  inaanza kufanya katika  kituo hiki,Wananchi waanze kupata Huduma kwa Karibu na Haraka" alisema Mwangwala


Naye Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Sale  Bi.Yasinta Ngondo amemeleza kuwa wamewapokea wataalamu walioajiriwa na Serikali  mwaka huu 2023  ambao ni mtaalamu mabara mmoja na wauguzi saba ambao wameshawasili na kuanza kazi

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO MWAKA 2020 February 14, 2020
  • MLIPUKO WA KIPINDUPINDU WILAYA YA NGORONGORO May 07, 2018
  • KUUZAJI WA VIWANJA MJI WA WASSO May 11, 2018
  • MUDA WA NYONGEZA JUU YA MAOMBI YA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO June 13, 2018
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA KWANZA 2023/2024

    November 30, 2023
  • CHUO CHA UALIMU NGORONGORO KUANZA MWAKA WA MASOMO 2024

    November 16, 2023
  • RC MONGELLA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA NGORONGORO NA KUKAGUA VIFAA TIBA.

    November 13, 2023
  • RC MONGELLA AAGIZA KUKAMILIKA KWA MRADI WA UJENZI SHULE YA MSINGI OLOLOSOKWAN.

    November 10, 2023
  • Tazama zaidi

Video

SHAMBA LA NYASI LA MFANO KATA YA SOITSAMBU
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.