• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

HALMASHAHURI YA NGORONGORO YATOA MILIONI 71 KWA VIKUNDI VYA VIJANA WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: November 8th, 2021

HALMASHAHURI YA NGORONGORO YATOA MILIONI 71 KWA VIKUNDI VYA VIJANA WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh.Mwl Raymond Mwangwala akabidhi mikopo ya shilingi millioni 71 kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kwa kipindi  cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022.


Akizungumza hii leo Novemba 8,2021 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kwenye hafla ya utoaji wa mikopo hiyo Mh.Mwangwala amewaasa wanufaika wa mkopo huo kwenda kuitumia vizuri lengo likiwa kuwanafaisha na kuwajengea heshima katika jamii na kwenye familia,kuepusha manyanyaso mbalimbali kwa wanawake na kuleta  amani ndani ya ndoa,na kuongeza kuwa wasichukue  mikopo hiyo na kwenda kununulia nguo,kutoka mitoko,kuongeza mke au kuongeza mme kupitia mikopo hiyo bali wakafanye vitu vya kuwaletea maendeleo.


Kwa upande wake Afisa maendeleo ya jamii wilayani hapa Mwanamsiu Dossi akisoma taarifa fupi ya mikopo ya vikundi hivyo  kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022 halmashauri imeidhinisha utoaji wa mikopo yenye jumla ya Tshs,71,000,000.00 kwa vikundi 18 vya wajasiriamali vilivyoomba mikopo  kutoka mfuko wa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.


Bi.Mwanamsiu amesema Fedha zilizokopeshwa zinatokana na mchango wa asilimia 10 ya mapato ya ndani Tshs.18,000,000.00,fedha zilizorejeshwa kutokana na mikopo ya awali Tshs.17,153,500.00 na salio la mfuko huo maalum Tshs.39,509,719.00,na kuaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa vikundi hivyo, kulingana na fedha zitakazopatikana kutokana na makusanyo ya ndani na marejesho ya mikopo ya nyuma.



Bi,Timbiyan Kiring'oti wa kijiji cha Kirtalo kata ya Soitsambu, kutoka katika kikundi cha kunenepesha na kuuza mifugo ameishukuru halmashauri ya wilaya ya ngorongoro kwa kutoa mikopo hiyo na kuongeza kuwa fedha hiyo ya mkopo waliyoipata watakwenda kuiongeza kwenye mradi wao wa kununua na kunenepesha mifugo.




Kwa mujibu wa sheria na kanuni  ya mikopo hiyo,kila kikundi kilichopata mkopo kitatakiwa kurejesha mkopo baada ya miezi mitatu tangu siku ya kupata mkopo na Marejesho ya mkopo yatafanywa kila mwezi kwa kuzingatia viwango vilivyokubaliwa kati ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa na kikundi kilichopatiwa mkopo.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.