• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KIKAO KAZI CHA MIKAKATI YA KUKUMBUSHANA MAJUKUMU YA KIELIMU WILAYA YA NGORONGORO.

Posted on: February 1st, 2024

Ikiiwa ni jitihada za kuboresha elimu katika Wilaya ya Ngorongoro Idara ya elimu Wilaya ya Ngorongoro imekaa kikao leo tarehe 01 Februari 2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Shule ya Maria Correson

kikao hicho kimehusisha Maafisa elimu Kata, Wakuu wa Shule za Sekondari pamoja na Wakuu wa Shule za Msingi. Huku wazungumzaji wakuu wakiwa ni Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Ngorongo Bi. Mwanamina Muro pamoja na Afisa Elimu Sekondari Bw. Emmanuel Sukumus akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Kikao hicho kimelenga kupeana mrejesho wa majukumu yaliyofanywa,kuweka mikakati pia kukumbushana majukmu  ya kielimu ndani ya Wilaya. Afisa elimu shule za sekondari Wilaya ya Ngorongoro Bw.Emmanuel Sukumus amewaasa walimu kusimama na kutekeleza Majukumu kama viongozi katika kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili wanafunzi Kwa kuzingatia utawala wa Sheria

"Kwasababu nyie ni viongozi mnafursa nyingi sana za kusimamia changamoto zilizopo chini yenu ikiwa ni pamoja na wanafunzi mnaowapatia elimu hivyo chochote mtakachokifanya kizingatie Utawala na Sheria, kuna miongozo mbalimbali, kuna Sheria mbalimbali pia kuna taratibu mbalimbali tafadhali simamia na kufuata miongozo mbalimbali iliyowekwa na Utawala wako" amesema Sukumus

Aidha Afisa elimu Msingi Wilaya Bi. Mwanamina Muro amewapongeza walimu Kwa jitihada zao Kwa ongezeko la kitaaluma katika kufaulisha wanafunzi na kuwakumbusha kuongeza juhudi zaidi katika kukabiliana na chamoto ili kufikia malengo ya Mkoa ikiwa ni wastani wa asilimia 95.  Hivyo Bi. Muro ameainisha mjongeo wa ufaulu Kwa darasa la nne na darasa la Saba Kwa mwaka 2021, 2022 na 2023.

"Darasa la Saba Kwa Mwaka 2022 tulifaulisha Kwa asilimia 68.25,  Mwaka 2022 tukaongeza Kwa asilimia 69.71 ambapo tulikuwa na mjongeo wa asilimia 1.46 lakini mwaka 2023 tulipata mjongeo wa asilimia 8.2 na Kwa darasa la nne mwaka 2021 tulikuwa na asilimia 72.4 ,  mwaka 2022 tulipanda Kwa asilimia 73.37  lakini Kwa mwaka 2023 tumeongeza ufaulu Kwa asilimia 7.4 ni Imani yangu kwamba mwaka huu tutaenda kufanya vizuri zaidi pia mkiwa kama viongozi msikwamishwe na changamoto bali mtatue changamoto" amesema Bi. Muro

Ikumbukwe shule kumi bora zilizoongoza Wilaya ya Ngorongoro ni Butemine, Loresho, Endulen, Nainokanoka, Lumo, Bright, Maria Correnson,  Loliondo G.C.C.T,  Digodigo  G.C.C.T na St.Luke.

Hata hivyo Bi. Muro amewasihi walimu kuongeza jitihada za kitaaluma Kwa  kuhakikisha wanafaulisha Kwa madaraja yote, ili kuweza kuachana na ufaulu wa daraja C pekee na kwenda kwenye ufaulu wa daraja B na daraja A.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA UJENZI WA MIUNDO MBINU NA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI NGORONGORO.

    January 12, 2026
  • DC SAKULO AITEMBELEA FAMILIA YA MWANAUME ALIYEPOTEA KWA KUZAMA MAJI KATA YA SAMUNGE.

    January 09, 2026
  • Wanafunzi 3,521 Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza wilayani Ngorongoro 2026..

    January 09, 2026
  • DC SAKULO AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO, IKIWEMO CHUO CHA UWALIMU NGORONGORO.

    January 09, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.