• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MFUMO WA SIS KUTUMIKA KUPIMA UTENDAJI KAZI, MAHUDHURIO NA USAJILI WA WANAFUNZI

Posted on: January 7th, 2026

Walimu wakuu wa shule za sekondari na msingi pamoja na Maafisa Elimu Kata wilayani Ngorongoro wamepatiwa mafunzo ya Mfumo wa Taarifa za Shule (SIS) unaoratibu usajili wa wanafunzi na walimu pamoja na ufuatiliaji wa maendeleo ya kitaaluma, mienendo ya tabia za walimu, pamoja motisha ya kitaaluma shuleni.

Akifungua mafunzo hayo leo Januari 07, 2026, Afisa Utumishi wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw. Emmanuel Mhando, akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, amewataka walimu hao kutumia mfumo wa SIS kama nyenzo ya kuboresha maendeleo ya taaluma katika shule zao.

Bw. Mhando amesisitiza walimu wakuu kuhakikisha wanatumia mafunzo hayo kuwajengea uwezo walimu wengine, pamoja na kuwasajili walimu wote wakiwemo wa ajira za kudumu, mkataba na wale wanaojitolea katika mfumo wa SIS.

Aidha, amewataka Maafisa Elimu Kata kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mfumo wa SIS kama sehemu ya majukumu yao ya utendaji kazi ili kuhakikisha matumizi sahihi ya mfumo huo katika shule zote.

“Maafisa Elimu endeleeni kusimamia kikamilifu utekelezaji wa Mfumo wa Taarifa za Shule (SIS) kama sehemu ya utendaji kazi wenu,” amesema Bw. Mhando.

Akihitimisha hotuba yake, Bw. Mhando amewaelekeza walimu wakuu kuhakikisha wanafunzi na walimu wote wamesajiliwa katika mfumo wa SIS, kuandaa mpango kazi wa usimamizi wa mifumo, pamoja na kusimamia mafunzo endelevu kwa walimu.


Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, yakilenga kuboresha ufuatiliaji wa maendeleo ya kitaaluma na mahudhurio ya wanafunzi kwa kipindi chote cha masomo.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA UJENZI WA MIUNDO MBINU NA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI NGORONGORO.

    January 12, 2026
  • DC SAKULO AITEMBELEA FAMILIA YA MWANAUME ALIYEPOTEA KWA KUZAMA MAJI KATA YA SAMUNGE.

    January 09, 2026
  • Wanafunzi 3,521 Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza wilayani Ngorongoro 2026..

    January 09, 2026
  • DC SAKULO AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO, IKIWEMO CHUO CHA UWALIMU NGORONGORO.

    January 09, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • machapisho mbalimbali

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.