• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TAASA YAKABIDHI BWENI LA WAVULANA SHULE YA MSINGI OLOLOSOKWAN

Posted on: February 4th, 2023

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Mwangwala ameipongeza kampuni ya utalii ya TAASA kwa ujenzi wa bweni la wavulana katika shule ya  msingi Ololosokwan" Ujenzi bweni  hili jipya umesadia kupunguza mrundikano wa wanafunzi bwenini katika shule hii ya Msingi Ololosokwan" amesema Mhe.Mwangwala


Mhe. Mwangala amesema hayo wakati wa taasisi inayojushughulisha na utalii ya TAASA ikikabidhi bweni kwa shule ya Msingi Ololosokwan ikiwa ni matokeo ya juhudi ya serikali ya awamu ta sita kuimarisha sekta yautalii ambapo wadau wa sekta hiyo wamenufaika na kushiriki katika gurudumu la maendeleo

"Tunamshukuru Rais  wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan, sasa  tunaona matokeo ya TANZANIA THE ROYAL TOUR kwani  leo hii tunakabidhiwa Bweni la wavulana lenye thamani ya Milioni 89 zilizotolewa na watalii waliotembelea shule hii" amesema Mhe Mwangala



Vilevile Mhe.Mwangwala amesema   Serikali inampango wa Kuifanya shule hiyo kuwa ya Bweni kwa wanafunzi wote ili kuwapa fursa wanafunzi wote waweze kuhuduria masomo yao vyema ambapo amewataka viongozi hasa watendaji wa vijiji, kata  na Maafisa Elimu kata kuahikikisha wanasimamia  watoto waliofikia umri wa Kwenda Shule wanaandikishwa na waliofaulu kujiunga na Kidato cha kwanza 2023 wawe wameshajiunga na kidato cha kwanza katika shule za Sekondari

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOPATA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO MWAKA 2020 February 14, 2020
  • MLIPUKO WA KIPINDUPINDU WILAYA YA NGORONGORO May 07, 2018
  • KUUZAJI WA VIWANJA MJI WA WASSO May 11, 2018
  • MUDA WA NYONGEZA JUU YA MAOMBI YA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO June 13, 2018
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO WA KUPOKEA MAONI YA UUNDAJI WA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI

    February 28, 2023
  • NGORONGORO KINARA VIASHIRIA VYA LISHE

    February 20, 2023
  • UTAPIA MLO WASHUKA KWA 0.6% WILAYA YA NGORONGORO.

    February 09, 2023
  • TAASA YAKABIDHI BWENI LA WAVULANA SHULE YA MSINGI OLOLOSOKWAN

    February 04, 2023
  • Tazama zaidi

Video

https://www.youtube.com/watch?v=BMud_vpj7i0
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.