• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

CHONGOLO AWATAKA MAAFISA MAWASILIANO SERIKALI KUONGEZA UBUNIFU

Posted on: August 16th, 2023

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Daniel Chongolo amewataka Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini kuongeza juhudi katika kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Ndugu, Chongolo amesema hayo leo Mkoani Arusha aliposhiriki Kikao Kazi cha Mafunzo ya kuwajengea uwezo Viongozi wa Mkoa wa Arusha kinachoendelea katika Hotel ya The Retreat At Ngorongoro-Karatu ambapo pamoja na mambo mengine amesema Serikali inayoongozwa na CCM imekuwa ikipelekeka fedha nyingi za miradi ya maendeleo kwa Wananchi lakini bado kuna changamoto kubwa kwani kuna baadhi ya maeneo Vitengo hivyo havitumiki ipasavyo kwaajili ya kutangaza mafanikio hayo.


"CCM ndiyo yenye Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020-25 na katika Ilani yetu tumeeleza bayana mambo mbalimbali tutakayoyatekeleza kwa Wananchi hivyo ni Jukumu la kila Kiongozi katika ngazi zote husika kuelezea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa chini ya Uongozi mahiri wa Rais Samia kupitia Vitengo vya Habari na Mawasiliano Serikalini,tunataka kuona Wananchi wanapata taarifa sahihi za miradi inayotekelezwa katika maeneo yao ".alisema Chongolo


Amesema Vitengo vya Habari na Mawasiliano Serikalini vikitumika ipasavyo vitasaidia kuonyesha namna gani Serikali inavyotekeleza Ilani ya Uchaguzi ambayo ni Miradi mbalimbali ya maendeleo iliyohaidi wakati wa Uchaguzi hivyo kusaidia kuwapa uelewa mpana Wananchi wa kujua namna Ilani ya Uchaguzi inavyotekelezwa chini ya Serikali ya Awamu ya sita akitolea mfano wa Miradi ya Elimu, Afya, Maji na barabara inayoendelea Nchi nzima.


Sambamba na hilo amesema Viongozi wengi wamekuwa wepesi kukimbilia Vyombo vya Habari kuelezea kero za maeneo wanayoyaongoza, lakini Serikali inapotatua kero hizo wamekuwa wazito kutumia Vyombo vya Habari au Vitengo vya Habari na Mawasiliano Serikalini kuelezea namna Serikali ilivyotatua kero hiyo ili Watanzania waelewe.


Aidha,ndugu Chongolo amesema kuwa Maafisa Mawasiliano Serikalini wanatakiwa kuongeza ubunifu katika utendaji kazi wao kwa kuhakikisha wanayaelewa vyema maeneo wanayoyafanyia kazi pamoja na kuitumia ipasavyo mitandao ya kijamii ili kuendelea kuhabarisha umma juu ya wapi tulipotoka,wapi tulipo na wapi tunakoelekea kama Nchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.