• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC MWANGWALA ATOA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI

Posted on: April 23rd, 2023

Mkuu wa wilaya ya ngorongoro Mhe.Raymond Stephen Mwangwala  amewaagiza viongozi katika ngazi zote wilayani hapa kupanga mipango ya maendeleo kwa kuzingatia idadi halisi ya watu kwenye maeneo yao .

Maagizo hayo ameyatoa Leo tar 21 April 2023 wakati akizungumza na wananchi kupitia kipindi maalum kilichoandaliwa na Redio ya kijamii ya Loliondo FM kilichoangazia matokeo ya SENSA ya watu na makazi ya 2022 na maadhimisho ya miaka 59 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo mbali na hayo amezungumzia hali ya ulizi na usalama,utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kutoa salam za Eid al-fitr.


Mhe Mwangwala amesema  matokea ya sensa yanaonyesha wilaya ya ngorongoro ina watu 273,449 kati yao wanaume ni 127,850 na wanawake ni 145,699 kati ya hao watu 103,799 wako tarafa ya loliondo,100,793 wako ngorongoro na 68,957 wanaishi tarafa ya sale,kwa upande wa kata kata ya soitsambu inaongoza kwa kua na idadi kubwa ya watu ikiwa na takriban watu 16,899 na kata ya Eyasi ndio yenye idadi ndogo zaidi ikiwa na watu 2,800 huku wilaya ikiwa na makaazi 60,883.


Katika hatua nyingine mkuu wa wilaya amewataka wananchi kushiriki kutunza mazingira kwa kupanda miti katika maeneo yao ili kukabiliana na ukame unaotishia maisha ya mifugo na mazao kwa wafugaji na wakulima ambao ndio idadi kubwa ya wananchi wa ngorongoro pia amewasihi wananchi kufanya usafi kuanzia maeneo ya makazi hadi ya biashara  ili kudumiaha usafi na kuendelea kuenzi muungano wa Tanganyika na Zanzibar.


Kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fenda nyingi kwaajili ya miradi ya afya,elimi,miundombinu ya barabara kupitia TARURA,Afya,elimu na kadhalika,huku akiwataka wakandarasi wanaotekeleza miradi hiyo kuikamilisha kwa wakati na viwango stahiki kwani hali ya ulinzi na usalama kiwilaya ni shwari ambayo mbali na wao inawaruhusu pia wananchi kuendelea na shughuli za kimaendeleo bila woga wala hofu.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.