• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC MWANGWALA AZINDUA WIKI YA CHANJO NGORONGORO

Posted on: April 24th, 2023

WIKI YA CHANJO YAZINDULIWA NGORONGORO

24 April 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe.Raymond Mwangwala Leo Aprili 24,2023 amezindua wiki ya chanjo Kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, chanjo zilizotolewani pamoja na chanjo ya  kuzuia kupooza, kukinga surua, kukinga kuhara na magonjwa mengine.


Uzinduzi huo umefanyika katika kwenye Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro iliyopo kijiji cha Lopoluni kata ya Olorien Magaiduru ambapo wazazi wenye watoto  wamefika na kupata chanjo hizo, watoto hao wamepewa chanjo kulingana na umri wa mtoto na kuzingatia aina ya chanjo ambazo mtoto alishapewa.


Watoto wa kike wenye umri wa miaka 14 wamepewa chanjo ya kukinga saratani ya shingo ya kizazi.Pia wazazi wamesisitizwa kuitumia wiki hii kuhakikisha watoto wote wanapata chanjo za magonjwa mbalimbali Ili waweze kuwakinga watoto wao


"Tuko kwenye maadhimisho ya wiki ya chanjo na sisi wan Ngorongoro tumeamua wiki hii tuiadhimishie hapa kwenye Hospitali  lengo  ni kuhakikisha Wananchi wa kata hii wanapata huduma hii na tunahakikisha zaidi ya Watoto 5000 watafikiwa na chanjo,niwapongeze wanafunzi  wakike waliokuja kupata chanjo ya saratani, ugonjwa wa saratani ni hatari sana kwahiyo lengo la chanjo hii nikuwakinga watoto wetu na magonjwa yanayoweza kuzuilika" Mwangala  amesisitiza kuwa chanjo hizo ni salama hivyo Wananchi wasione shaka kuwaleta watoto kupata chanjo


Katika uzinduzi huo ameshiriki Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Mohamed Bayo  ambaye ameeleza kuwa kwa sasa huduma ya Afaya inapatikana karibia katika kila kata kuna kituo cha  afya /Zahanati hivyo wananchi katika kipindi hiki ambacho tuko kwenye wiki ya Chanjo wajakikishe  watoto kupata chanjo.


Naye Kaimu  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw.Emanuel  Mhando amewapongeza wananchi wote waliowaleta watoto kupata chanjo hizo.

Mganga Mkuu wa Wilaya. Dkt Revocutus Dyekobora ameeleza kuwa Wiki ya Chanjo itaanza tarehe 24- 30 Aprili 2023 na itaongozwa na kaulimbiu ya "Tuwafikie wote kwa Chanjo na Ujumbe wa mwaka 2023 ni Jamii iliyopata chanjo ni jamii yenye Afya"

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.