• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC MWANGWALA AZINDUA ZOEZI LA KUMEZA DAWA ZA TRAKOMA

Posted on: April 20th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe Raymond Stephen Mwangwala amewasihi wananchi wilayani Ngorongoro kuipokea kinga tiba na chanjo dhidi ya ugonjwa wa trakoma au vikope kwani in salama na inaufanisi wa kupunguza hatari ya upofu


Ameyasema hayo Leo tar 20/4/2023 wakati akizindua zoezi la utoaji chanjo dhidi ya TRAKOMA katika ukumbi wa mikutano wa Hospitali teule ya Wasso ambapo zoezi hilo litaanza kwesho tar 21-28/4/2023 likihusisha watu wenye umri wa kuanzia miezi sita hadi watu wazima.


Mhe.Mwangwala amesema magonjwa yaliyokua hayapewi kipaumbele yanaathiri jamii nyingi ambazo znakipato cha chini na huduma duni za afya hivyo kuisihi jamii kufanya udhibiti wa wadudu kama mbu,nzi na konokono wanaosambaza vimelea vya magonjwa haya na kufanya usafi wa mwili na mazingira.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi kuendelea kuienzi tunu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwani mbali na mambo mengine umesaidia kuleta maendeleo kupitia mwingiliano wa kibiashara kati ya jamii mbalimbali kutoka pande zote za muungano huku akitolea mfano wa idadi kubwa ya wananchi wa jamii za Ngorongoro ikiwemo wamaasai ambao wapo wengi visiwani Zanzibar na wanaendelea kujitaftia riziki huku wakiendelea kudumisha mila huko waliko.

Kwa upande wake Bi.Florence Makunda mfamasia wa mpango wa NTDCP kutoka wizara ya afya kitengo cha magonjwa yaliyokua hayapewi kipaumbele amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk.Samia Suluhu Hassani alisaini makubaliano ya kimataifa yanayotaka hadi kufikia mwaka 2030 ugonjwa huu usiwe tatizo tena barani Afrika.

 Akisisitiza  kila kundi kuanzia wizara ya afya hadi ngazi ya jamii ikitekeleza wajibu wake ipasavyo jamii itafanikiwa kutokomeza ugonjwa huu

mkaazi wa Wasso bwana Maasai Juma ameishukuru serekali kwa kuleta kinga hii kwani itasaidia kupunguza matatizo ya macho huku akiwasihi wananchi wengine kuondoa hofu kua dawa hizi ni salama kwani ameshuhudia mkuu wa wilaya akimeza katika zoezi hilo la uzinduzi .

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.