• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC NGORONGORO AFANYA ZIARA KATA YA SAMUNGE

Posted on: October 10th, 2018

ZIARA YA MKUU WILAYA YA NGORONGORO MHESHIMIWA RASHID MFAUME TAKA KATIKA KATA YA SAMUNGE  TAREHE 09/10/2018.


Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro  Mh.Rashid Mfaume Taka amefanya ziara  ya kawaida ya Siku moja ya  kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo katika kata ya Samunge


Mh.Taka alianza kwa kutembelea na kukagua ujenzi wa kituo cha afya Samunge ambapo mpaka sasa uchimbaji wa misingi ya nyumba 5 ambazo ni jengo la OPD,jengo la utawala , wodi ya Wazazi , Maabara,  RCH, Nyumba ya watumishi six in one,imekamilika kwa Nguvu za Wananchi  na  serikali imechangia Shilingi milioni 400


 Mh.Rashid Taka ametembelea ujenzi wa Nyumba ya waalimu six in one, Maabara Kemia na mabweni mawili  katika Sekondari ya Samunge ambapo miradi yote hii inajengwa kwa nguvu za wananchi na Serikali


Wakati huo huo  ametembelea ujenzi wa Chuo Cha Ufundi stadi VETA kinachojengwa na nguvu za wananchi kupitia Rika la  Erumashari  Samunge.Katika ujenzi huo   amejionea majengo 8 yakiwa yanaendelea kujengwa ambapo majengo manne ambayo ni Jengo la utawala , Madarasa matatu na Karakana mbili yapo katika hatua ya lenta, madarasa mawili yamekamilika, na majengo mengine manne yapo katika hatua ya msingi,


Katika ziara Hiyo Mh.Kajurus Diwani WA Kata ya Samunge ameishukuru serikali ya awamu ya tano na Mh.Mbunge  kwa kutoa Sh.M5 ya Mfuko WA Jimbo kwa  Umaliziaji WA Jengo la Watumishi wa Zahanati ya Samunge.


Mh.Taka amewapongeza na kuwashukuru wananchi wa Samunge kwa kazi nzuri wanayoifanya katika kujiletea Maendeleo yao wenyewe na kuunga mkono juhudi ya Serikali ya awamu ya Tano na   amewahakikishia wananchi kwamba Serikali inatambua juhudi zao na itaendelea kuwaunga mkono kwa kuwaletea fedha za kumalizia miradi hiyo.


Mh.Taka alimalizia  ziara yake kwa kuzungumza na mkutano mkubwa wa akina mama wa Kata ya Samunge ambapo walikusanyika katika eneo la Ujenzi wa Kituo cha Afya kwaajili ya kuweka taratibu za kuendelea kuchangia Ujenzi huo.

Mh.Rashid Taka akikagua msingi uliochimbwa  kwa nguvu za wananchi wa ujenzi wa jengo la zahanati ya Samunge

Mh.Rashid Taka akipata maelezo kuhusu ujenzi wa nyumba ya mwalimu six in one katika Shule ya Sekondari Samunge

Mh.Kajurusi Dugo Diwani wa kata ya Samunge akieleza Jambo kwa Mh.Rashid Taka wakati akikagua jengo la nyumba ya waalimu Six in One katika sekondari ya Samunge.

Jengo la maabara ya Kemia likiwa katika hatua ya kumaliziaji katika shule ya Sekondari sambunge

Mh Rashid Taka alikagua pia majengo ya mabweni mawili katika sekondari ya Samunge yaliyopo katika hatua ya Lenta.

Pia Mh.Taka alikagua na kupata maelekezo ya ujenzi wa Chuo cha VETA samunge

Mh. DC alimaliza ziara yake kwa kuwasalimia wamama wa kata nzima ya samunge baada ya kumaliza kikao chao kwaajili ya kuchangia ujenzi wa zahanati ya Samunge

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO YANG'ARA MASHINDANO YA RIADHA UMITASHUMTA MKOA 2025.

    June 03, 2025
  • KAMPENI YA KITAIFA YA UTOAJI CHANJO NA DAWA KINGA ZA MAGOJWA YA MINYOO NA TRAKOMA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO.

    May 30, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.