• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC NGORONGORO AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE; WATOTO 33, 004 WALIGUNDULIKA KUWA NA HALI NZURI YA LISHE.

Posted on: July 31st, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mhe. kanali Wilson Sakulo ameshiriki na kuongoza kikao cha tathmini ya utelezaji wa shuguli za lishe kwa kipindi cha miezi mitatua kuanzia mwezi Aprili hadi Juni 2024 leo tarehe 31 Julai, 2024 katika ukumbi mdogo wa Halmashauri.

Hali ya lishe kwa Watoto imeendelea kuimarika kutokana na kuongezeka kwa asilimia za hali nzuri ya lishe kuendelea kupanda ukilinganisha na vipindi vilivyopita.


Afisa lishe Bi. Angela Mbaga wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha mwezi Aprili mpaka Juni 2024, amesema jumla ya Watoto 35,503 walifanyiwa tathmini ya hali ya lishe huku idadi ya Watoto 33,004 sawa na asilimia 92.96 walikutwa na hali nzuri ya lishe na asilimia 6.79 sawa na watoto 2, 410 walikutwa na hali ya hafifu ya lishe.

Bi.Angela Mbaga ameendelea kueleza kwa kipindi chote cha miezi mitatu walifanya maadhimisho ya siku ya afya na lishe katika kata nane (8) ikiwemo Oloipiri, Endulen, Samunge, Kirangi, Orgosorock, Olorien, Enguserosambu na Maalon, maadhimisho hayo yalihusisha utoaji wa huduma za kliniki ya mkoba, upimaji wa hali ya lishe kwa watu wazima na kutoa ushauri na nasaha kuhusu lishe bora.

Sanjari na hilo jumla ya akina mama 5, 940 walipatiwa elimu ya lishe ya makundi ya chakula, uandaaji wa mlo kamili na chakula cha nyongeza kwa watoto.

Pia utoaji wa vidonge vya madini chuma kwa akina mama wajawazito vilitolewa ili kuendelea kuboresha hali ya afya timamu kwa wajawazito.

Akizungumza katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya Mhe. Kanali Wilson Sakulo ametoa rai kwa Watendaji wa kata kuendelea kusimamia vyema shughuli za lishe katika kata zao ili kuhakikisha Wilaya inaendelea kuwa na watoto wenye hali nzuri ya lishe.

"Licha yakuwa tuna viashiria vizuri vya hali ya lishe, sitapenda kuona watu wanalipana posho halafu hakuna kinachofanyika hivyo Watendaji kasimamiaeni vizuri shughuli za utekelezaji wa masuala ya lishe kwenye kata zenu" amesema Mhe. Kanali Sakulo

Hata hivyo,  Mkuu wa Wilaya amewahimiza Watendaji kuwa na ushirikiano wenye tija na vikundi vya wanawake wajane vilivyopo katika kata zao ili kujenga jamii yenye upendo.

Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Ngorongoro kupitia wataalamu na uwezeshaji kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ilifanya zoezi la utoaji wa matone ya vitamin A na dawa za minyoo katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya na kliniki za mkoba ambapo jumla ya watoto 51,115 kati ya 54,898 walifikiwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.