• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

DC Ngorongoro awataka wanachi wabadili fikra ili kufikia usawa wa kijinsia

Posted on: March 11th, 2019

Ngorongoro-, Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh. Rashid Mfaume Taka amewataka wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro kutokomeza vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia hasa ukeketaji na ndoa za utotoni ili kufikia usawa wa kijinsia na kumpa fursa mwanamke kushiriki kikamilifu katika shughuli za kujiletea maendeleo

Mh. Taka ameyasema hayo wakati akihutubia wananchi katika maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani yaliofanyika tar.8.3.2019 ambapo amewataka wanawake kubadirika kifikra kwani wao wenyewe ndio wanao tekeleza vitendo  vya ukeketaji, pia amewataka wanaume wilayani hapa kuacha kuwaoza watoto wao katika umri mdogo ilikuwapa fursa ya kusoma na serikali haitafumbia macho vitendo kama hivyo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa mashirika yasio ya kiserikali ambayo hayajishughulishi na kero na matatizo ya wananchi kuwa yatapotea huku akipongeza shirika la PALISEP na OXFAM kushirikiana na serikali kuiletea jamii maendeleo kwa kugawa mitamba na madume ya ng`ombe kwa vikundi vya wakinamama katika tarafa ya Loliondo.

Kwa upande wake Mkurugezi Mtendaji wa shirika  la PALISEP Bw. Robert Kamakia amesema shirika lake limejizatiti kumwezesha mwanamke katika Wilaya ya Ngorongoro kujikwamua kiuchumi na kutambua haki zake za msingi ili kufikia usawa wa kijinsia.

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kiwilaya yamefanyika katika kata ya Alaitole kijiji cha Esere yakiwa na kauli mbiu ya ‘chukua hatua kufikia usawa wa kijinsia kwa maendeleo endelevu’ambapo kwa mara ya kwanza kimataifa siku hii iliadhimishwa mwaka 1975 kutokana na vuguvugu la wanawake kudai haki zao kama ujira, kupunguziwa muda wa kazi na haki ya kupiga kura.

Imetolewa na Kitengo

Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro


Wanawake waliojitokeza kushiriki Maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika katika kijijicha Esere kata ya Alaitolei Wilaya ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MARNDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.