• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NGORONGORO YAFANYA UFUATILIAJI WA MAREJESHO YA MIKOPO VIJIJINI

Posted on: December 2nd, 2018

Ngorongoro ,Arusha

02 Dec 2018

Halmashauri  ya Wilaya ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imefanya zoezi la kufanya ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo iliyotolewa kwa vikundi vya ujasiriamali vya vijana na wanawake Tarafa ya Ngorongoro.  Kata zilizotembelewa ni Olbalbal, Ngoile, Kakesiyo, Alaitole, Endulen, Oloirobi, na Nainokanoka.

Akizungumza na Kaimu Afisa Habari Gabriel Mpeho, Afisa Maendeleo ya Jamii (W) Bi. Teresia A Irafay, amewashukuru wadau hasa Waheshimiwa  Madiwani na wenyeviti wa vijiji pamoja na Maafisa Watendaji wa kata na vijiji katika kutoa ushirikiano wa karibu kwenye uhimizaji wa marejesho. Katika shughuli hiyo, Bi Teresia aliambatana na Afisa Urithi  Mambo Kale, Bi. Lightness Kyambile ambae pia ni Mratibu wa Mradi  wa Geopark – Mradi unaolenga kuwezesha wanavikundi wanaojishughulisha na masuala ya utalii wa asili kwenye vivutio vinavyoratibiwa na Ngorongoro Lengai UNESCO Global Geopark.

Hali ya marejesho kwa mujibu wa Afisa Maendeleo ya Jamii (W), unaridhisha. Jitihada za makusudi zinaendelea kufanyika ili marejesho hayo yafanyiike kwa kiwango cha juu zaidi ili vikundi vingine viweze kupata fursa za kukopeshwa.

Aidha Bi Teresia anatoa rai kwaWaheshimiwa Madiwani, wajumbe wa serikali za vijiji na Maafisa watendaji   wote kuendelea kutoa ushirikiano katika kuratibu shughuli za vikundi pamoja na uratibu kwenye urejeshwaji. Idara inaendelea kuboresha mifumo ya urejeshwaji na utoaji wa mikopo.  

Pamoja na hayo, amekumbusha wadhamini wa vikundi kuwa makini kwani  wao ndio watawajibika kisheria endapo vikundi vikikiuka mkataba kwa kuchelewesha marejesho. Hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao kwa niaba ya wanavikundi ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mahakamani.

Afisa Maendeleo pia amewapongeza na kuwashukuru  wataalamu wote wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha, Mkurugenzi Mtendaji (W) ya Ngorongoro, Bw. Raphael Siumbu na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango pamoja , Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na Baraza la Wafugaji kwa kuona umuhimu wa kuwezesha vikundi vya ujasiriamali na hatimaye  Mkoa wa Arusha kwa ujumla umeshika  nafasi ya kwanza kati ya Mikoa 25 ya Tanzania Bara katika kuwezesha vikundi vya ujasiriamali kupitia 10% ya Mapato yake ya ndani na vyanzo vingine kutoka kwa wadau wa maendeleo.

Amewashukuru Maafisa Maendeleo ya Jamii wote pamoja na watenadaji wa kata na vijiji wa  Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na waliopo  Baraza la Wafugaji  kwa kazi nzuri wanayofanya vijijini na kuendelea kuwatia moyo katika kuhudumia wananchi na kuwa wabunifu zaidi katika kutekeleza majukumu yao.

Imetolewa na 

Kitengo cha Habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Afisa Maendeleo ya Jamii (W)Ngorongoro Bi.Teresia A.Irafay na Afisa Mambo Kale wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bi Lightness Kyambile wakiwa katika Picha ya Pamoja na wajumbe wa serikali ya kiijiji cha Ngoile baada ya Majadiliano ya kina kuhusu maendeleo ya vikundi na urejeshwaji wa mikopo


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.