• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

JUMLA YA WANAFUNZI 5,298 WA KIDATO SITA MKOA WA ARUSHA WAMEANZA LEO KUFANYA MTIHANI WA TAIFA..

Posted on: May 6th, 2024

Chanzo na Elinipa Lupembe-OFISI YA MKUU WA MKOA ARUSHA.


Wanafunzi 5,298 Mkoa wa Arusha, wameanza kufanya Mtihani wa kuhitimu kidato cha sita leo Mei 06, 2024 nchini, kwa mujibu wa ratiba ya Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).


Akizungumza na mwandishi wetu, Afisa Elimu Mkoa wa Arusha, Mwl. Abel Mtupwa amesema kuwa, idadi hiyo ya Wanafunzi, inajumuisha Watahiniwa wa Shule, Watahiniwa wa kujitegemea pamoja na Watahainiwa wa Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada.


Amefafafanua kuwa kati ya Watahiniwa 5,298, Watahiniwa 4,286 ni wa shule 'School candidates', Watahiniwa 450 ni wa kujitegemea 'Private Candidates' na Watahiniwa 562 ni wa Ualimu.


Mwl. Mtupwa amebainisha kuwa, Watahiniwa wote watafanya mitihani yao, kwenye vituo rasmi 62 na vituo teule ni 23, huku kukiwa na jumla ya Wasimamizi Wakuu 61 na Wasimamizi wa Mikondo 135.


"Maandalizi yamekamilika kwenye vituo vya kufanyia mitihani, vifaa vyote vya muhimu vimepokelewa kwa utoshelevu wake kutoka Baraza la Mitihani la Tanzania na tayari Semina elekezi kwa ajili ya kufanikisha kazi hii ya kitaifa zimefanyika kwa ufasaha kwa Wasimamizi wote" Amesema Mwl. Mtupwa


Hata hivyo amewataka Wasimamizi wote wa mitihani, kufanya kazi hiyo kwa uadilifu kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu za mitihani ya Taifa, sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuathiri uendeshaji wa mitihani uliopangwa na Serikali, kwa kuwa tayari wanafunzi wameshaandaliwa vyema na walimu wao kwa shule zote.


Aidha, mitihani hiyo imeanza leo Mei, 6 na inatarajiwa kumalizika Siku ya Ijumaa ya tarehe 24 Mei 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.