• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA NGORONGORO YARIDHISHWA NA USIMAMIZI WA MIRADI.

Posted on: November 8th, 2023


Na Gabriel E.Mpeho

Kamati ya Fedha Ungozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Emanuel Tonge ,waheshimiwa Madiwani na wakuu wa Idara na vitengo  leo tarehe 07 Novemba 2023 imeendelea na ziara yake ya ukaguzi miradi ya maendeleo ndani ya Wilaya Ngorongoro kwa siku ya pili ambapo ukaguzi wa miradi ni moja ya jukumu la Kamati hiyo.

Kamati imempongeza Mkurugenzi Mtendaji Bw.Nassoro Shemzigwa  kwa usimamizi mzuri kwa miradi inayoendelea ndani ya Wilaya ya Ngorongoro pamoja na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza miradi ya maendeleo inayoonekana kwani miradi hiyo inakwenda kuwanufaisha wananchi moja kwa moja.


Kamati imetembelea miradi ya maendeleo katika Chuo cha Ualimu cha Ngorongoro,  Shule ya msingi Losirwa, Kukagua  Vifaa tiba kwenye Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro,  kisha kukagua jengo la utawala la Halmashauri Wilaya  ya Ngorongoro.Aidha kamati ya Fedha Uongozi na Mipango imekagua kukagua vifaa tiba vya kisasa vilivyoletwa na Serikali ya awamu ya sita ikiwemo  X-ray ya Meno yenye thamani ya Shilingi MILIONI 48,Jenereta kiasi cha Shilingi Milioni  63,Digital X RAY Shilingi milioni 295,Mashine ya Kufulia  Shilingi milioni 10 na kufanya jumla ya  zaidi ya  Shilingi  992.


Aidha Kamati ya fedha licha ya kuridhishwa na maendeleo mazuri ya ujenzi katika jengo la utawala,  imewataka wahandisi kuongeza kasi na ujenzi ili kuhakikisha mradi unakamilika ndani ya muda uliyowekwa.


Akiongelea mradi wa shule ya Msingi  Losirwa,  Makamu mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe.Emmanuel Tonge

ametoa pongezi kwa wasimamizi wa mradi huo akiwemo mkuu wa shule  ya msingi ya kirtalo Amani Olotu wenyeviti wa vitongoji (Bw. Kasino Moiyoi,  Kitongoji cha Losirwa na Bw. Danika Letura,  kitongoji cha Empopong'i) pamoja na Mwenyeti wa kamati ya ujenzi kwa kazi kubwa waliyoifanya na wanayoendelea kuifanya.


"Kwa niaba ya Kamati ya Uongozi na Mipango kwenye bajeti ya Halmashauri tutaleta milioni ishirini kwaajili ya kuongeza nguvu ya Ujenzi wa Shule mpya ya Losirwa ili iweze kuanza maramoja kutapisha Shule ya msingi Kirtalo" amesema Mhe Tonge

 Naye Mwenyekiti wa Kitongoji  cha Losirwa Mhe.Danika Letura  amesema kabla ya shule hii watoto walitembea kilomita 4 kufika shule,  wanyama wakali njiani ilikua nichangamoto hali iliyokuwa inatishia usalama wa watoto

Hata hivyo Wananchi wametoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita kwa fedha za miradi ya maendeleo.


Aidha Kaiumu Afisa Elimu Msingi Wilaya Ndugu Joachim Mgonja ameeleza kuwa Shule ya msingi Losirwa  imegharimu shilingi milion 638 kupitia Fedha kutoka Serikali kuu kupitia  Mradi BOOST na Utekelezaji mradi  umefika Asilimia 95% ya Ujenzi


Aidha Kamati imetumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za kutekeleza  miradi ya Maendeleo  katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro




Ikumbukwe Kamati ya mipango na fedha inajukumu la kukagua miradi inayoendelea ndani ya Wilaya ya Ngorongoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.