• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KAMATI YA SIASA MKOA YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYA YA NGORONGORO

Posted on: March 4th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro chini ya Bw. Nassoro Shemzigwa,  imeendelea kusisamamia na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita inayoongonzwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha Mhe. Loy Ole Sabaya leo tarehe 4 machi, 2024  ameiongoza Kamati ya Siasa ya Mkoa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa Wilayani Ngorongoro, na kutoa pongezi kwa miradi inayoridhisha katika utekelzaji ikiwemo Shule ya Sekondari Masusu ambayo imekamilika kisha kutoa maagizo ya ukamilishwaji kwa miradi yote ili kuhakikisha utendaji kazi unaenda vizuri na miradi inakamilika kwa wakati.

Shule ya Masusu imegharimu kiasi cha shilingi milion 584.2,  Shule hiyo ina madarasa 8, Ofisi 2, jengo la utawala, maabara ya Kemia, fizikia, baiolojia, jengo moja la maktaba na jengo la TEHAMA

Aidha Mwenyekiti ametoa pongezi kwa Wananchi wa Kata ya Pinyinyi na Uongozi wa Halmashauri kwa juhudi walizozifanya kuhakikisha Shule ya Sekondari Masusu inakamilika.

"Nitoe pongezi kwa umoja wenu na juhudi mlizozifanya mpaka kuhakikisha ujenzi wa Shule hii unakamilika hongereni sana,  pia hakikisheni watoto wanaenda shule mpaka wamalize masomo yao ili baadaye wawasaidie." amesema Ole Sabaya.

Hata hivyo amemtaka Meneja wa mamlaka ya maji Vijijini (RUWASA) Mhandisi Gerald Patrick Andrew kuhakikisha anatimiza ahadi yake ya kufikisha huduma ya maji siku ya Ijumaa ya tarehe 8 machi, 2024.

Agizo hilo limekuja baada ya Meneja wa RUWASA kusema mpaka kufikia ijumaa huduma ya maji itakua inapatikana shuleni hapo wakati akijibu hoja ya mwanakijiji wa Masusu inayodai kuwa huduma ya maji Shuleni hapo ni changamoto.


Kamati ya Siasa imetembelea miradi mingine ya maendeleo inayotekelezwa Katika Kata ya Maaloni ikiwemo barabara ya Kipambi yenye  urefu wa kilomita 14.6 iliyogharimu kiasi cha shilingi bilion 3.1 za kitanzania, ujenzi wa madarasa mawili Shule ya Msingi Kipambi kisha  barabara ya Ormanie hadi Olala yenye urefu wa kilomita 9.33 inayojengwa kwa hisani ya benki ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) Kata ya Arash.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.