• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KIKAO CHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE NGAZI YA HALMASHAURI KIPINDI MWEZI APRILI HADI JUNI 2025.

Posted on: July 25th, 2025

Kikao cha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe ngazi ya Halmashauri kimefanyika leo tarehe 25 Julai, 2025, kwa lengo la kujadili taarifa za shughuli za lishe zilizotekelezwa katika robo ya nne, kuanzia mwezi Aprili hadi Juni 2025. Lengo kuu la kikao hiki ni kutathmini hali ya lishe ndani ya Wilaya ya Ngorongoro na kubaini mwelekeo wa utekelezaji wa afua za lishe.

Katika kikao hicho, taarifa iliyowasilishwa ilionyesha kuwa jumla ya watoto 64,084 wenye umri chini ya miaka mitano walipimwa uzito na hali ya lishe katika kliniki za mama na mtoto. Pia, maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe yamefanyika hadi kufikia ngazi ya vijiji. Aidha, jumla ya wanawake wajawazito 15,758 walipatiwa vidonge vya madini chuma.

Afisa Lishe wa Wilaya, Bi. Angela Mmbaga, akiwasilisha taarifa hiyo kwa wajumbe wa kikao, alisema kuwa ukaguzi wa vyakula na upimaji wa afya katika migahawa na hoteli umefanyika, sambamba na ukaguzi wa mifugo na utoaji wa elimu ya kilimo kwa vikundi mbalimbali vya jamii.

Kuhusu hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano, Bi. Angela alieleza kuwa jumla ya watoto 24,001 wa jinsia ya kiume walikutwa na hali nzuri ya lishe, huku watoto 25,823 wa jinsia ya kike wakionyesha hali hiyo hiyo. Hii inafanya jumla ya watoto waliokuwa na hali nzuri ya lishe kuwa 49,824, sawa na asilimia 95.5 ya walipopimwa.

Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe ya Vijiji yalifanyika katika kata nane (8) kati ya saba (7) zilizopangwa awali, ambazo ni: Enguserosambu, Orgosorok, Maalon, Ngoile, Ngorongoro, Samunge, Kirangi na Olorien/Magaidiru. Kikao hicho kimeongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri, Bw. Bennezeth Bwikizo, katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • KIKAO CHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE NGAZI YA HALMASHAURI KIPINDI MWEZI APRILI HADI JUNI 2025.

    July 25, 2025
  • WAJASIRIAMALI ARUSHA WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA YA MIKOPO ISIYOKUWA NA RIBA INAYOTOLEWA NA SERIKALI.

    July 23, 2025
  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.