• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

RAIS SAMIA AMERIDHIA MPANGO WA UJENZI WA BARABARA YA MTO WA MBU MPAKA LOLIONDO .

Posted on: September 6th, 2025

Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye kwa sasa ni mgombea wa Urais  kupitia CCM, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ameidhinisha mpango wa ujenzi wa barabara ya kutoka Kigongoni Mto wa Mbu mpaka  Loliondo wilaya ya Ngorongoro,yenye urefu wa Km 217.

Hayo yamethibitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla, mara baada ya kupokea ombi kutoka kwa wananchi wa Ngorongoro, kwenye Mkutano wa hadhara, uliofanyika Kata ya Sale Jumanne ya leo, Septemba 02, 2025.


CPA Makalla amesema kuwa, ujenzi wa barabara hiyo unatekelezwa kwa awamu nne, ambapo awamu ya kwanza tayari imeshakamilika kwa kujengwa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu Km 49 kutoka Sale mpaka Waso kwa gharama ya shilingi bilioni 87.


Utekelezaji wa awamu ya pili tayari ujenzi wa bararabara ya Km 10 kutoka Waso  kwenda Loliondo, mradi ambao  umeanza kutekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 12.


Awamu ya tatu ni barabara ya Mto wa Mbu - Engaruka   Km 50 ambapo imegawanyika Mto wa Mbu - Selela Km 23 taratibu za kumapata Mkandarasi zinakamilika aanze ujenzi, awamu hiu ni Selela -  Engaruka yenye urefu wa Km 27, usanifu umekamilika na Serikali iko tayari kupata Mkandarasi kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi huku awamu ya mwishi ni   Engaruka mpaka Ngaresero Km 24 nayo usanifu umekamilika Serikali imetangaza zabuni ili kumpaka mkandarasi.


"Nataka niweke wazi, barabara yote ya Km 217, Serikali ya CCM  inayo nia ya dhati, kuhakikisha changamoto hiyo inatatuliwa na kuondosha kero kwa wakazi wa Ngorongoro, nimekutana na Meneja wa TARURA Mkoa, ninaahidi nitasukuma jambo hili ili ahadi ya chama cha Mapinduzi iweze kutekelezwa"Amesisitiza CPA Makalla.


Awali, wananchi wabainisha kuwa kakamilika kwa ujenzi babarabara hiyo ambayo inaunganisha wakazi wa Wilaya ya Monduli na Ngorongoro, licha ya kurahisisha usafiri zaidi itakuwa chachu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wakazi wa wilaya hizo, ambazo asilimia kubwa ni wakulima na wafugaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO NA MONDULI KUUNGANISHWA NA BARABARA YA LAMI; RAIS SAMIA KUTEKELEZA.

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA AMERIDHIA MPANGO WA UJENZI WA BARABARA YA MTO WA MBU MPAKA LOLIONDO .

    September 06, 2025
  • *BILIONI 88 ZATOLEWA MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA, KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO NGORONGORO.

    September 02, 2025
  • DED NGORONGORO AWAONGOZA WATUMISHI KSHIRIKI ZOEZI LA USAFI HOSPITALI YA WILAYA

    August 13, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.