• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

KIKAO CHA TATHMIN CHA UTELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE ROBO YA TATU.

Posted on: June 27th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Ngorongoro amefungua na kuongoza kikao cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe Wilaya, kilichofanyika leo tarehe 27 Juni, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri ambapo kikao hicho kimehudhuriwa na wajumbe mbalimbali wakiwemo Watendaji wa Kata, Wataalamu kutoka Halmashauri, maafisa lishe, pamoja na kamati ya usalama ya Wilaya.


Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya tathmini ya lishe Afisa Lishe Wilaya Bi. Anjela Mbaga ameeleza kuwa watoto 32, 153 walifanyiwa tathmini ya lishe kwa kupimwa uwiano wa uzito na urefu kwa umri kupitia vituo vya kutolea huduma ya afya, Watoto 29, 334 sawa na asilimia 91.23 walikua na hali nzuri ya lishe. watoto 2, 734 sawa na asilimia 8.5 waligundulika kuwa na hali hafifu,  watoto 85 sawa na asilimia 0.26 waligundulika walikua na hali mbaya ya lishe.


"watoto hao walipewa chakula dawa, na walezi walifundishwa aina gani ya chakula wanatakiwa kuwaandalia watoto hao ili waweze kurejea katika hali ya kawaida" amesema

Bi. Anjela wakati akitoa maelezo kuhusu hatua zilizochukuliwa na Wataalamu wa lishe ili kurejesha hali nzuri ya lishe kwa Watoto waliogundulika kuwa na hali hafifu na wale wenye hali mbaya ya lishe.


Hata hivyo,  aliendelea kueleza kuwa kwa kipindi cha januari hadi machi utoaji wa vidonge vya madini chuma uliendelea kutolewa huku jumla ya akinamama 10, 453 kati 10, 462 sawa na asilimia 99.9 walipatiwa vidonge vya madini chuma katika kliniki za mama na mtoto.


Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya Ndg. Hamza H. Hamza amekipongeza kitengo cha lishe kwa utekelezaji mzuri wa kutoa huduma ya lishe bora kwa Watoto na akina mama wajawazito, pia amempongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa kuwawezesha Maafisa Lishe kutekeleza majukumu yao kikamilifu wakati wote wa utekelezaji wa zoezi la utoaji huduma ya lishe kwa maeneo yote wilayani Ngorongoro.


Aidha, Katibu Tawala amesema katika kuboresha hali ya lishe wilayani amewataka Maafisa Elimu, Maafisa Maendeleo ya Jamii, Maafisa Kilimo na Watendaji wa Kata kuhamasisha ulimaji wa bustani za mbogamboga kwenye maeneo yao ili kuendeleza na kuboresha hali ya afya timamu kwa watoto.


"Tuendelee kufanya kazi na tuendelee kuhamasisha, suala la lishe sio suala la lelemama hakuna namna ambayo tunaweza kuikwepa lishe kama tunataka kuwa na kizazi kinachokua kwa uelewa mkubwa" amesema Ndg. Hamza

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MIRADI YA MAENDELEO ILIYOTEKELEZWA NA SERIKALI WILAYANI NGORONGORO

    May 16, 2025
  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.