• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

LORI LA KLINIKI TEMBEZI KUANZA KAZI NGORONGORO

Posted on: December 5th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K.Mongella amemkabidhi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Charles Rashid Mkombachepa, Lori la Kliniki Tembezi (mobile clinic) na kuagiza kuanza, mara moja, kufanya kazi kwenye halmashauri ya Ngorongoro.


Mhe. Mongella ameweka wazi kuwa,  Lori hilo la Kilini tembezi, limeletwa kufuatia mkakati wa uboreshaji na uimarishaji wa huduma za Afya, hususani huduma za dharura na kuongeza kuwa, mkoa unaanza rasmi utekelezaji huo, kwa kuelekeza Lori hilo kutumiwa na Madaktari Bingwa, kutoa huduma kwa wagonjwa walio kwenye maeneo ya pembezoni, ambayo hayafikiki kwa wepesi.

Mhe. Mongella, hakusita kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwajali wananchi wa Arusha, ambao Jiografia ya maeneo mengi ni magumu na hayafikiki kwa wepesi na watu wake wanaishi kwa mtawanyiko mkubwa, ambao wanahitaji huduma za afya kuwafikia kwa karibu.


Aidha, Mhe. Mongella amemsisitiza Mganga Mkuu wa mkoa, kuhakikisha anawapangia Madaktari Bingwa, kwenye halmashauri za pembezoni kwa kuanza na wilaya ya Ngorongoro, Longido na baadhi ya maeneo ya Arumeru, ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ndani ya maeneo yao, kama yalivyo malengo ya Serikali.

"Mama Samia ameshafanya kazi yake, kaai iliyopaki ni sisi kumsaidia kuhakikisha wananchi wanapata huduma, ninakuagiza Mganga Mkuu, gari hili likafanye kazi iliyokusudiwa ya kuwahudumia wagonjwa kwenye maeneo yao, madaktari wapangiwe na kuanza kazi kwenye wilaya ya Ngorongoro na madaktari walifuate gari hilo na kutoa huduma kwa wananchi, kwenye maeneo yao" Amesisistiza


Awali, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Mkombachepa, amesema kuwa, wamepokea magari manne yenye thamani ya shilingi milioni 646.3, kutoka Serikali kupitia Ofisi ya Rais - TAMISEMI, ikiwa ni mkakati wa Serikali wa  uboreshaji na uimarishaji wa huduma za afya hususani huduma za dharura na rufaa pamoja na kusogeza huduma zaidi karibu na wananchi.


Amefafanua kuwa,  magari hayo manne aina ya Toyota Land Cruiser Ambulance 3, zimegawiwa kwenye wilaya ya Ngorongoro, Longido na Hospitali ya Rufaa mkoa wa Arusha, huku Lori la Kliniki Tembezi likikabidhiwa Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa kwa ajli ya kufanya kazi za kutoa huduma kuzunguka mkoa mzima.

Hata hivyo, Dkt. Mkombapepa kwa niaba ya watumishi wa Afya, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita, kwa kuwa na mkakati wa kutoa vitendea kazi kwenye Idara ya afya, vieteneakazi ambavyo vinakwenda kuwarahisishia kazi wahudumu hao, huku akiahidia kusimamia utunzania na matumizi sahihi ya vifaa pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.