• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Mafunzo ya awali kwa watendaji wa vijiji walioajiriwa Novemba 2017

Posted on: November 10th, 2017

Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ilifanya mafunzo ya awali kwa watendaji wa vijiji walioajiriwa mwezi Novemba mwaka 2017 yaliyolenga kuwajengea uwezo katika kazi yao. Mafunzo hayo yalifanyikia katika ukumbi wa halmashauri na yalifunguliwa na kaimu mkurugenzi ndugu Emmanuel A. Sukums.

Katika mafunzo hayo kaimu mkurugenzi aliwaasa waajiriwa wapya wawe makini na wasijiingize kwenye siasa badala yake wakafanye kazi za serikali bila upendeleo wakijua kabisa kuwa wanatekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aidha aliwaambia kuwa kuajiriwa kwao kumetokana na sifa zao na hategemei wamwangushe hivyo wakawe mawakala wema wa serikali huko vijiijni na watoe taarifa kwa wakati pale linapojitokeza jambo lolote kwani wao ni walinzi wa amani katika maeneo hayo.

Pia kaimu mkurugenzi aliwaeleza kuwa mazingira yao ya kazi yana changamoto hivyo wakafanye kazi kwa bidii na kujituma kwani vijiji vyetu vingi vipo mbali na makao makuu ya wilaya. Aliwataka watumishi hao wakawe na mahusiano mema na wananchi na viongozi watakaowakuta na waepuke kuwa vyanzo vya migogoro na kutumia madaraka yao vibaya.

Naye afisa utumishi aliwafafanulia watumishi hao juu ya  sheria na taratibu za kazi hasa masuala ya kinidhamu. Pia aliwaeleza kuwa watendaji wa vijiji wanawajibika kwa watendaji wa kata  na wote wapo chini ya idara ya utawala hivyo wawe tayari kupokea maelekezo kutoka kwao .

Baada ya ufafanuzi wa afisa utumishi, Mwanasheria wa halmashauri aliwaapisha watendaji hao wapya kisha akawaeleza kuwa wao ni walinzi wa amani hivyo wakadumishe amani badala ya kuwa vyanzo vya vurugu na wakumbuke kuwa wakitenda makosa watahukumiwa wao. Aliwaeleza kuwa watendaji wa vijiji wana mamlaka ya kumweka mhalifu ndani kwa masaa kumi na mbili tu kwa mujibu wa sheria na sii vinginevyo ila akawatahadharisha wasiitumie mamlaka hiyo vibaya.

 Semina hiyo pia ilihusisha idara nyingine kama Mipango, Maendeleo ya jamii na Fedha ambapo kila idara ilielezea kwa kina jinsi ya kujaza nyaraka mbalimbali katika ofisi zao huko vijijini.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.