• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MAFUNZO YA MFUMO WA NeST YAMALIZIKA MKOA WA ARUSHA..

Posted on: August 28th, 2023



Jumla ya washiriki 56 wa Mafunzo ya Mfumo Mpya wa Manunuzi ya Umma kwa njia ya Kielekroniki (NeST) Mkoa wa Arusha wamehitimu Mafunzo ya siku tano kwa Mafanikio.


Akifunga Mafunzo hayo Katibu Tawala Msaidizi Usimamizi,Ufuatiliaji na Ukaguzi  CPA.Ramadhani Madeleka amesema lengo kuu la Mafunzo hayo likukuwa ni kuwajengea uwezo Maafisa hao toka Halmashauri saba za Mkoa wa Arusha ili kuulewa namna ya kuutumia mfumo huo mpya wa manunuzi ya Umma ujulikanao kama NeST ili wakifika katika maeneo yao ya kazi wakawafundishe Maafisa wengine waliosalia namna ya kuutumia mfumo huu.


"PPRA walitoa Mafunzo kama haya kwa Maafisa toka Sekretariati za Mikoa yote Tanzania Jijini Dodoma kwa lengo la kuwajengea uwelewa wa kuutumia mfumo huu na kisha kuja kuwafundisha mafunzo haya ninyi Maafisa toka ngazi za Halmashauri,hivyo sisi kama Mkoa tunatarajia mtakwenda kuwafundisha mafunzo hayo Maafisa waliobaki katika Halmashauri zetu ili nao waweze kuutumia mfumo huu".


Sambamba na hilo,CPA.Madeleka amezitaka Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kuhakikisha kuwa ifikapo tarehe 15/09/2023 kila Halmashauri iwe imewasilisha taarifa yake ya kuelezea ukamilikaji wa mafunzo ya NeST kwa Maafisa waliosalia ngazi za Halmashauri na namna walivyoanza  kuutumia Mfumo huu kwani ifikapo tarehe 30/09/2023 mfumo zamani hautatumika tena.


Aidha,amewataka Wakurugenzi wote wa Halmashauri kusimamia mfumo huu mpya wa manunuzi kwa kuhakikisha hakuna manunuzi yanayofanyika nje ya mfumo wa NeST kwani kuendelea kufanya manunuzi nje ya mfumo huu ni kosa kisheria na kuwa Halmashauri inatakayobainika kufanya hivyo itachukuliwa hatua za kisheria.


Mafunzo hayo ya siku tano kwa Mkoa wa Arusha yalianza tarehe 21/08/2023 na kufanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuhitumishwa tarehe 25/08/2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.