• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MAKATIBU WAKUU 6 WA WIZARA TOFAUTI WAZUNGUMZA NA BARAZA LA WAFUGAJI NGORONGORO..

Posted on: December 2nd, 2018

Ngorongoro ,Arusha

2 Nov. 2018

Makatibu wakuu wa Wizara  sita tofauti wametembelea baraza la wafugaji Ngorongoro  Wilayani hapa kuzungumza nao ili kutatua kero zao.Ziara hiyo imejiri hapo jana 1 Disemba 2018 katika Ukumbi  wa Mikutano wa  mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro  kufuati ahadi ya katibu mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Elisante Olegabrel siku chache  zilizopita alipotembelea baraza hilo, ambapo aliahidi wanachi hao kuwa ili kutatua changamoto zao ni lazima akutane na makatibu wenzake wa wizara husika ili kujadili kwa pamoja namna ya kutatua kero za wanachi.

Hata hivyo makatibu sita wa Wizara tofauti ikiwemo Pro.Adolf Mkenda Katibu Mkuu  Maliasili na Utalii, Prof.Kitila Mkumbo Katibu Mkuu Wizara ya Maji na umwagiliaji ,Prof Elisante Ole Gabriel Katibu mkuu   Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Doroth Mwanyika Katibu Mkuu   Wizara yaArdhi nyumba na maendeleo ya makazi ,Dr Jim Yonaz Naibu katibu mkuu Wizara ya Mawasiliano na Joseph Mwalongo Katibu mkuu Ofisi ya Mkamu wa Raisi Muungano na Mazingira  wamebainisha kuwa wamesikiliza kero za wananchi hao na kuongeza kuwa watakutana kujadili namna sahihi ya kutatua changamoto zilizobainishwa bila kuathiri upande wowote.

Kikao kiliudhuriwa pia na Ndugu Raphael Siumbu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro na Afisa Mifugo na Uvuvu (W)Ngorongoro Bw.Chobi Chubwa na upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Ngorongoro Mh.Methew Siloma na Diwani wa kata ya Arash kwa niaba ya uongozi wa Wilayani ya Ngorongoro amewashukuru makatibu hao kwa kutembelea baraza la wafugaji na kutaja kuwa wanaamini ujio wa viongozi wa wizara hizo itasaidia kutatua kero zilizopo katika eneo hilo la tarafa ya Ngorongoro.

Imetolewa na 

Kitengo cha habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Mhifadhi Mkuu wa Mmalaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dr.Manongi akisalimiana na  katibu Mkuu wa wizara ya Mifugo na uvuvi Prof.Elisante Olegabriel  wakati wa ziara ya makatibu wakuu 6 wa wizara tofauti tofauti 

Prof Olegabriel Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi akivishwa zawadi ya asili ya Kimasai


Dr Jim Yonaz Naibu katibu mkuu Wizara ya Mawasiliano akivishwa zawadi ya asili ya Kimasai


Prof Kitila Mkumbo  Katibu Mkuu wizara ya maji na umwagiliaji  akivishwa zawadi ya asili ya Kimasai

Picha ya Pamoja kati ya Mkatibu wa kuu sita na viongozi wa baraza la wafugaji baada ya kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.