• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

PICHA ZA MATUKIO YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA NGORONGORO 2018

Posted on: September 13th, 2018

Mh.Rashid Taka-Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro akimkaribisha Mh.Mrisho Gambo-Mkuu wa mkoa wa Arusha katika zoezi la kupokea Mwenge wa Uhuru wilaya ya Ngorongoro

Mh.Siloma -Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro akimkaribiisha Mh.Mrisho Gambo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwenye zoezi la kuupokea Mwenge wa Uhuru katika Eneo la Olduvai

Mhe. Kiongozi Wa Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Kitaifa, Charles Fransis Kabeho akizindua barabara yenye  urefu wa kilomita kumi na nne (14) kutoka katika Lango la Lemala kupitia Kijiji cha Irkeepus hadi kijiji cha Nainokanoka kata ya Nainokanoka, ni kati ya sehemu ya barabara yenye urefu wa kilomita sabini na nane (78kms ) za barabara kuu kutoka View Point,kupitia kata ya Nainokanoka ,kata ya Alailelai na kuishia kata ya Naiyobi.


Ndugu Charles Kabeho kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, amezindua Ujenzi wa nyumba ya watumishi (2 in 1) ambao ulianza rasmi mwaka 2013 na kukamilika mwezi Juni 2016. Kila nyumba moja ina vyumba vitatu (3) vya kulala, sebule, choo, bafu, stoo na jiko. Ujenzi huu umefadhiliwa na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation (BMF) ambao hadi kukamilika umegharimu kiasi cha shilingi za kitanzania 107,852,524/=

Ndugu Charles Kabeho Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, amezindua Mradi wa huduma za ugani, Udhibiti wa magonjwa ya mifugo ambao umelenga kutatua changamoto za magonjwa ya mifugo, yanayoambukiza binadamu, wanyamapori na mifugo, kuzijengea uwezo kamati za usimamizi wa majosho, kutoa chanjo za mifugo aina ya Homa ya mapafu ya ng’ombe, Sotoka ya Wanyama Wadogo (Mbuzi na Kondoo) na kutoa chanjo ya kimeta.

Ndugu Charles Francis Kabeho kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa amezindua Miradi ya Ujenzi wa majengo  unahusisha ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kidato cha tano na sita lenye kuchukua wanafunzi 80, ujenzi wa matundu 10 ya choo pamoja na ukarabati wa maabara ambapo umegharimu Tsh. 178,963,640.00/= hadi kukamilika katika shule ya Sekondari Nainokanoka.



Ndugu Charles Francis Kabeho kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa akipewa zawadi katika boma la Seneto baada ya kutembelea  kujionea shughuli za kiuchumi wanazofanya

Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ,viongozi wa Dini na viongozi wa kisiasa wakilisikiliza Risala ya Utii iliyosomwa na katibu tawala wa wilaya mbele ya Kiongozi wa Mwenge wa uhuru Taifa Ndugu Charles Kabeho 

Vikundi Vya burudani vikitumbuiza eneo la mkesha wa Mwenge wa Uhuru

Mh.Diwani wa Kata ya Ninokanoka akiwakaribisha wageni wa Mwenge wa Uhuru 

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA HALMASHAURI NGORONGORO LATAMBUA NA KUZIPONGEZA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI NA MICHANGO YA WADAU WA ELIMU, KFW, THOMSON Safaris na PWC ZAPONGEZWA. MIL 3.5 ZATOLEWA KAMA ZAWADI.

    February 21, 2026
  • TANAPA, FZS NA KFW WAUNGANISHA NGUVU KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KISASA YA SHULE YA MSINGI SOITSAMBU.

    February 18, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASAHURI YA WILAYA YA NGORONGORO LIMEPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI 2026/2027.

    February 13, 2026
  • UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

    February 10, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.