• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MIRADI YA MAENDELEO YAENDELEA KUSHIKA KASI WILAYA YA NGORONGORO.

Posted on: February 27th, 2024

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na Benk ya maendeleo ya Ujerumani (KFW) imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali Wilaya ya Ngorongoro ikiwemo ujenzi wa Zahanati, Vyumba vya madarasa, Nyumba za Walimu, Nyumba za Wahudumu wa afya pamoja na barabara.


Miradi hiyo imetembelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanali. Wilson Sakulo ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku nne iliyoanza jumamosi ya tarehe 24 Februari, 2024 mahsusi kwa ajili ya ukaguzi wa miradi yote inayotekelezwa na KFW chini ya usimamizi wa Kampuni ya CDM Smith.


Aidha Mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa Wananchi wanufaika wa miradi hiyo kuweka sawa mazingira ya ulinzi wa vifaa vinavyopelekwa saiti na kutunza na  mazingira ili yawatunze.


"Tunzeni mazingira na yawekeni katika hali ya usafi, pia hakikisheni vifaa vyote vinavyofika saiti vinakua salama boresheni hali ya ulinzi na yoyote atayehusika na wizi achukuliwe hatua za kisheria" amesema Kanali. Sakulo


Ziara imetembelea miradi yote inayotekelezwa katika Kata ya Samunge ambayo ni nyumba moja ya Walimu itakayohudumia Walimu wawili katika Shule ya Msingi Mageri yenye thamani ya Shilingi milion 171, nyumba moja ya Mganga,  Zahanati ya Mgongo, bwalo la chakula lenye uwezo wa kuhudumia wanafunzi 800 lenye thamani ya shilingi milion 684 katika Shule ya Sekondari Samunge, jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) katika Zahanati ya Yasimdito kijiji cha Yasimdito.


Ziara hiyo imemalizikia Kata ya Maalon kijiji cha Loswash kukagua ujenzi wa madarasa mawili ambayo yako katika hatua ya umaliziaji kisha barabara ya Maalon hadi Kipambi yenye urefu wa kilomita 14.6 ambayo tayari imekamilika.


Kwa upande wao Wananchi wa Kata ya Samunge na Maalon wametoa Shukrani zao za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.


"Tunaendelea kumpongeza Rais kwa miradi hii anayotuletea na tunamshukuru sana kwani miradi hii inatija kwetu sisi kama jamii pia tunawashukuru KFW tunaomba waendelee kutufanyia hisani zaidi".

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.