• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MKURUGENZI NGORONGORO AZUNGUMZA NA BODABODA WA MJI MDOGO WA LOLIONDO.

Posted on: July 3rd, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw.Murtallah Sadiki Mbillu ameanza utekelezaji wa maagizo ya waziri wa Tamisemi Mhe. Mohamed  Mchengerwa  aliyoyatoa  kuhusu kuwajengea  mlMaafisa usafirishanji vituo (Bodaboda) kwaajili ya kuwawekea mazingira bora ya kufanyia kazi.


Akizungumza na Maafisa  wasafirishaji hao katika moja ya kituo Cha bodaboda wilayani hapo Mkururugenzi amesema utekelezaji huo umekuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kutoa maagizo kwa Halmashauri  zote nchini, kuwajengea maafisa hao wa usafirishaji vituo vya kuegesha vyombo vyao vya moto.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Mohamed Bayo amewataka vijana hao kujiunga na Vikundi ili kunufaika  na Mikopo ya Asilimia 10 ya Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu inayotolewa na Halmashauri kwa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Mheshimiwa Bayo amesema kuwa Maafisa usafirishaji hao wajiunge katika vikundi  na kutambuana ili kuweza kufahamiana na kutoa huduma bora kwa Wananchi na kupunguza malalamiko ya wateja wanaopata madhara ya kuangushwa ama kuibiwa wakati wanatumia usafiri huo.


Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya ngorongoro Bw. Daniel Bura amewasihi Maafisa wa usafirishaji hao kujiunga kwenye vikundi ili waweze kutambulika kwa sifa waweze kupata mikopo hiyo  inayotelewa na Halmashauri kwa urahisi zaidi.


Hata hivyo, Mwenyekiti wa Wasso kaskazini Ndg. Lagwe Pemba kwa niaba ya Wananchi ametumia fursa hiyo kuishukuru Serikali ya awamu ya sita pamoja na uongozi wake ukiwemo uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kwa kazi unaoendelea kuifanya.


"Tunamshukuru Mhe.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutengeneza mazingira bora ya kufanyia kazi kwa wakazi wa Mamlaka ya mji mdogo wa Loliondo, hii imetuonesha jinsi gani serikali yetu inavyotujali, amesema Ndg. Pemba

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YATOA FEDHA BILIONI 19. 513 KUPELEKA UMEME KWENYE VITONGOJI 127 ARUSHA.

    February 04, 2026
  • SIKU YA SHERIA YAADHIMISHWA WILAYANI NGORONGORO.

    February 02, 2026
  • SERIKALI YAENDELEA KUTEKELEZA UJENZI WA MIUNDO MBINU NA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI NGORONGORO.

    January 12, 2026
  • DC SAKULO AITEMBELEA FAMILIA YA MWANAUME ALIYEPOTEA KWA KUZAMA MAJI KATA YA SAMUNGE.

    January 09, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.