• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MKUTANO WA BARAZA LA HALMASHAURI WILAYA YA NGORONGORO ROBO YA TATU MWAKA WA FEDHA 2023/2024 UMEFANYIKA KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI, KUJADILI MAMBO MBALIMBALI KKUHUSU MAENDELEO YA WILAYA .

Posted on: June 13th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe.kanali Wilson Sakulo amewataka waheshimiwa Madiwani kushiriki kikamilifu kusaidia kutatua migogoro yote iliyopo katika maeneo ya kata zao kwani wao wananguvu kubwa na imani ya Wananchi wao.

Ameyasema hayo katika Mkutano wa baraza la Halmashauri kwa robo ya tatu ya mwaka 2024 kilichofanyika leo tarehe 13 Juni 2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya Ngorongoro ambapo amechukua nafasi hio kuwapongeza Madiwani wa kata za Oloipiri na Soitsambu ambao wameweka juhudi za makusudi kumaliza mgogoro wa mpaka kati yao kwa kushirikiana na Viongozi wa mila na amewahakikishia wakimaliza ataishauri Sekta ya ardhi Wilaya kupitisha mipaka itakayo kubaliwa.


 Mhe. Sakulo amewasihi Waheshimiwa Madiwani kuwahamasisha Wananchi katika kata zao kushiriki kikamilifu katika zoezi la maboresho ya daftari la kudumu la wapiga kura, zoezi ambalo ameeleza mchakato na taratibu zake zitaanza tarehe 1 Julai, 2024 ili kuhakikisha kwamba ifikapo wakati wa kupiga kura watekeleze haki yao ya kikatiba kwa kuchagua Viongozi huku pia akichukua nafasi hio kuipongeza Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro kuongeza makusanyo ya mapato.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Mohamed Bayo amesema katika kipindi cha mwezi Mei Halmashauri imekusanya kiasi cha sh.178,786,931 na kufanya jumla ya makusanyo kuwa shilingi 2,586,714,284, sawa na 83% ya makisio ya kukusanya jumla ya shilingi 3,101,200,000. Pia ametoa rai kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngorongoro kupitia Diviaheni ya Mipango ikutane na Wenyeviti wa kata na vijiji ili kushughulikia vifungu katika mfumo mpya wa manunuzi inayosababisha vijiji kushindwa kutumia fedha zilizopo katika akaunti zao.


Hata hivyo ameguaia suala la njia za ukusanyaji mapato amebainisha kua Ofisi ya Mkurugenzi  ndio inayofanya ukusanyaji wa mapato hasa katika minada na sio Vyombo vya Usalama kama inavyopotoshwa kwani kamati ya fedha katika kikao chake cha mwisho kilichoketi mwezi wa nne kiliridhia kikosi kazi kilichoundwa kikihusisha Kamati ya Usalama kiendelee kusaidia wakusanya mapato kwa kufuatilia kwa karibu upotevu wa mapato hasa katika minada.


Pia,  kikao hicho kimepokea na kujadili  taarifa za kamati za kudumu za Halmashauri ambazo ni kamati ya kudhibiti UKIMWI,Elimu na Huduma za kijamii pamoja na  Kamati ya Fedha. Katika taarifa ya Kamati ya kudhibiti UKIMWI imeeleza kua katika kipindi cha januari hadi Machi waliopima kwa hiari hali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI wilayani hapa ni watu 4,825 ambapo kutokana na takwimu hizo kiwango cha maambukizi ni asilimia 0.8% ikilinganishwa na 1.9 % ya Mkoa wa Arusha na 4.7% ya kitaifa huku jitihada  za kutoa elimu ya kujikinga dhidi ya Virusi Vya ukimwi na UKIMWI na umuhimu wa upimaji kwa hiari na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza Virusi vya ukimwi zikiendelea kufanyika

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.