• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MKUU WA MKOA WA ARUSHA MH.MRISHO GAMBO AMEZINDUA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA NGORONGORO

Posted on: January 13th, 2019

NGORONGORO ,ARUSHA

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh. Mrisho Gambo amezindua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro katika kijiji cha Maaloni kata ya Oloirien Magaiduru na kuitaka Uongozi wa Halmashauri kukutana mapema na wananchi ili kukamilisha taratibu za kuanza kwa ujenzi huo.


Gambo amezindua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya kwa mara ya kwanza juzi tarehe 13. 1. 2019 wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kikazi wilaya hapa  ambapo amemuagiza mkuu wa Wilaya Mh. Rashid Mfaume Taka kukutana na wananchi ambao maeneo yao yatamegwa na ujenzi wa Hospitali ili watafutiwe maeneo ya fidia.


Wakizungumza na Mkuu wa Mkoa baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Maaloni wamemueleza mkuu wa mkuoa furaha yao kwa Hospitali ya Wilaya kuhamia katika kijiji chao lakini wakatoa ombi la kulipwa fidia ya mashamba yao walizodai kuwa tayari wameshalima ambapo Gambo ameelekeza Halmashauri kutathmini gharama zilizotumika pamoja na kuzungumza na uongozi wa kijiji ili kuwafidia wananchi hao


Kwa Upande wake Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi - CCM Mkoa wa Arusha Mussa Matoroka ametoa Rai kwa wote waliopewa ridhaa ya kujenga Hospitali hiyo waanze kazi mara moja na kwa uaminifu.


Wakati hayo yakijiri tarafa ya Loliondo Naibu waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia ambaye pia ni Mbunge wa Wilaya ya Ngorongoro Mh. Williama Tate Olenasha akiwa miongoni mwa Viongozi walioambatana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo tarehe 13.01.2019 amezindua shule mpya ya Msingi Indoinyo katika kata ya Olaitolei tarafa ya Ngorongoro na kubainisha kuwa shule hiyo inafanya idadi ya shule za msingi zilizosajiliwa na serkali kwa miaka 2 wilayani hapa kuwa 9 na kuwataka wananchi kuendelea kushirikiana na serikali ya Awamu ya Tano ili kumuunga mkono jitihada za Mh. Rais John Pombe Magufuli katika kuboresha miundo mbinu ya Elimu


Mh. Olenasha ametoa Rai kwa wananchi wa Wilaya ya Ngorongoro kutumia kipindi cha utawala wa Rais magufuli kama fursa ya kujikwamua kufikia maendeleo haswa Elimu ambayo  serikali inatoa bure na kuongeza hakuna sababu ya Mzazi au mlezi kushindwa kumpeleka mtoto shule.

Imetolewa na 

Kitengo cha Habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.