• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MKUU WA WILAYA YA NGORONGORO AKABIDHIWA MIRADI MITATU YA KIJIJI CHA SUKENYA

Posted on: November 20th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh.Rashid Mfaume Taka akabidhiwa miradi mitatu na wadau wa maendeleo na  Bodi    ya  Focus on Tanzanian Communities (FoTZC)kwa ushirikiano wa kampuni ya Thomson Safaris Ltd katika kijiji cha sukenya kata ya Oloipiri Wilayani Ngorongoro.

Kabla ya ya makabidhiano hayo Mh.Rashid Taka alipata nafasi ya kuzungumza na bodi ya Focus on Tanzanian Communities (FoTZC) iliyoongozwa na Bi Bonny ambaye ni Rais wa bodi hiyo na kutembelea miradi yote mitatu ikiwemo nyumba ya watumishi katika Zahanati ya Sukenya,nyumba ya walimu katika shule ya msingi mondorosi na borehole katika kijiji cha mondorosi.

Mkuu wa wilaya ameongeza kwa kusema kuwa serikali ya awamu ya tano inajali na kutambua juhudi za mashirika na wadau wa maendeleo kwa kuchangia miradi ya maendeleo hasa kwenye sekta mbalimbali ikiwemo elimu na afya hivyo serikali ipo tayari kuonyesha ushirikiano ili kusaidiana kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

Sambamba na hayo amewashukuru wananchi wa kijiji cha Sukenya na Mondorosi pamoja na Kampuni ya  Thomson Safaris Ltd, kwa ushirikiano wa Focus on Tanzanian Communities (FoTZC) katika kutekeleza miradi hiyo kwaajili ya maendeleo na kuwaahidi ataendelea kutoa ushirikiano na kuwaomba kusaidia tena ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Sukenya pamoja na madarasa manne katika shule ya msingi Mondorosi.

Kwa upande wake Rais wa bodi ya Focus on Tanzanian Communities (FoTZC)Bi Bonny, amewashukuru wanachi wa kijiji cha Sukenya na Mondorosi kwa kuonyesha ushirikiano na moyo wao wa upendo na kuwaahadi kuwa maombi yao wameyachukuwa na kwenda kujadiliana ili kupatiwa uvumbuzi.

Imetolewa na

Kitengo cha Habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro


Bi Elizabeth-Mwakilishi wa Miradi ya Focus on Tanzanian Communities (FoZTC)akiwa atambulisha wageni kutoka Bodi ya Focus on Tanzanian Communities (FoZTC kwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh.Rashid Taka baada ya kuwasili katika Kijiji cha Sukenya.

Rais wa Focus on Tanzanian Communities (FoTZC)akimkabidhi Mh.Rahid Taka kibao kama Ishara ya Mkabidhiano ya Nyumba ya Watumishi katika zahanati ya Sukenya.

Picha ya pamoja kati ya Bodi ya Focus on Tanzanian Communities (FoTZC),Viongozi wa kata ya Oloipiri na viongozi wa wilaya ya Ngorongoro wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya jengo la watumishi katika Zahanati ya Sukenya.

Bi Bonny Rais wa (FoTZC)akikabidhi kibao kwa Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mh.Rashid Mfaume Taka  kama ishara ya makabidhiano ya nyumba ya mwalimu katika shule ya Msingi Mondorosi

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Mh.Rashid Taka akikabidhi cheti cha Pongezi  kwa Bi.Bonny Rais wa (FoTZC) baadha ya kufadhili ujenzi wa nyumba ya watumishi katika Zahanati ya Sukenya na Shule ya msingi Mondorosi pamoja na Borehole katika kijiji cha Mondorosi

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.