• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

MKUU WA WILAYA YA NGORONGORO AMEFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA WILAYA YA NGORONGORO.

Posted on: February 26th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Kanali. Wilson Sakulo leo tarehe 24 Februari, 2024 ametembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na KFW, ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara ya Kanali. Sakulo ambapo atakua na ziara maalum ya siku nne ya kutembelea miradi yote ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Ngorongoro.

Kanali. Sakulo ametembelea Shule ya Mama Silivia iliyopo mtaa wa Njorieti kukagua madarasa mawili yanayojengwa na KFW ambayo yako katika hatua ya umaliziaji yenye thamani ya Shilingi 100, 258, 000, na kutoa rai kwa wahisani hao kujenga miundo mbinu ya maji katika shule hiyo ili kuondoa uhaba wa maji.


"rai yangu kwenu ningependa mjenge miuondo mbinu ya maji kama kisima ili kuondoa changamoto ya maji katika Shule hii" amesema Kanali. Wilson Sakulo


Wakati wa ziara hiyo,  Kanali. Sakulo ametembelea miradi ya barabara ya Mairowa mpaka Njoroi yenye urefu wa kilomita 11.1 ambayo iko katika hatua ya umaliziaji barabara hiyo imetengewa bajeti ya shilingi bilion 1.987, kisha kukagua barabara ya Kirtalo yenye urefu wa kilomita 12.5 inayotarajia kukamilika tarehe 6 April, 2024.


Hata hivyo Kanali. Sakulo ametembelea Shule za Sukenya iliyopo kata ya Oloipiri yenye madarasa matatu yenye thamani ya shilingi 211,905,100.70 ambayo iko katika hatua ya umaliziaji, Zahanati ya Njoroi yenye thamani ya shilingi 358, 803, 250.48, Shule ya Msingi Soitsambu yenye vyumba vitatu vya madarasa kisha kumalizia ziara kwa kukagua Zahanati ya Kirtalo yenye thamani ya shilingi

milion 358, 803, 250.48.


Kanali Wilson Sakulo amehitisha ziara yake  kwa kuwahimiza wahisani wa KFW kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na kuikabidhi ili jamii na Wananchi wa Ngorongoro waanze kunufaika maramoja


Hata hivyo Kanali Sakulo ametoa shukrani kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuboresha mahusiano mazuri na mataifa mengine na kuruhusu Wahisani kuja nchini na kufanya miradi ya maendeleo kwa manufaa ya Watanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.