• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

PELEKENI ELIMU YA LISHE NGAZI ZA CHINI-RC MONGELLA..

Posted on: August 24th, 2023



Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amezitaka Kamati za Lishe Mawilayani kuhakikisha zinakwenda Vijijini kufundisha na kuhamasisha masuala ya Lishe kwa Jamii.


Amesema hayo aliopokuwa akiongoza Kikao cha Lishe Mkoa wa Arusha kikichofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati wakijadili mpango mkakati wa namna ya kukabiliana na changamoto ya Lishe duni katika Jamii hususan kwa siku 1000 za mtoto tangu azaliwe.


Amesema kuwa suala la Lishe halina mjadala wala mbadala na kuwa Lishe bora ndiyo inayopelekea kupata nguvu kazi iliyobora na Viongozi bora, Viongozi bora huzaa Taifa imara,hivyo kucheza na masuala ya Lishe ni kuhujumu mipango ya maendeleo ya Taifa kitu ambacho ni hatari kwani hupelekea Taifa kuwa na idadi kubwa ya Watu wenye udumavu.


Katika kuhakikisha suala la Lishe linapewa kipaumbele, Mongella ameziagiza Kamati za Lishe  kufanye ziara Vijijini kwaajili ya kwenda kutoa Elimu na hamasa kwa Jamii ili kuwapa uelewa mpana wa faida za Lishe kwa mama mjamzito na Watoto chini ya Miaka 5 kwani kila Halmashauri ilishagizwa kutenga fedha za kuchangia mpango Lishe kwa mtoto mchanga.


"Nawaombeani Wakuu wa Wilaya mkazisimamie Kamati za Lishe ili ziweze kutoa elimu ya Lishe kwenye Kaya hii itasaidia Jamii kupata uelewa wa umuhimu kwa mama mjamzito na kwa siku 1000 za mtoto toka azaliwe" Alisema Mongella.


Sambamba na hilo, Mongella amesema ni vyema Ofisi za Waganga wa Wakuu wa Wilaya wakateuwa timu ya Maafisa uhamasishaji Lishe wenye waliobobea katika eneo hilo na ambao wanatambua malengo na mikakati ya Taifa kuhusu Lishe kwani kwa kutofanya hivyo zoezi la Lishe litakuwa bure.


"Tunapofika kwenye suala la uelemishaji nawaomba saana Waganga Wakuu wa Wilaya lazima tupeleke Maafisa Lishe wanajua kusoma vizuri Scorecard ya Lishe ili watusaidie kutoa elimu na kutupa takwimu sahihi za hali ya Lishe kwenye Wilaya zetu" Alisema Mongella.


Kikao hicho cha Lishe Mkoa kilihudhuriwa na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi pamoja na Wataalam wa Lishe toka Wilaya zote za Mkoa wa Arusha ambapo kila Wilaya iliwasilisha taarifa zake za utekelezaji na mikakati ya kukabiliana na changamoto za Lishe katika Jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.