• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

Shirika la Mimutie Women Organization laendesha warsha ya kuimarisha mahusiano ya wadau wa mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa watoto na wanawake wilayani Ngorongoro .

Posted on: August 18th, 2021

NGORONGORO,   18 Agosti,2021.

Na Mwaandishi wetu.


Shirika la Mimutie Women Organization laendesha warsha ya kuimarisha mahusiano ya wadau wa mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia kwa watoto na wanawake wilayani Ngorongoro .


Akizungumza hii leo katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya Mh.Mwl Raymond Mwangwala amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa shirika  hilo Bi.Rose Njilo kwa kuendelea kuihamasisha jamii ,kuhusu ukatili wa kijinsia na athari zake dhidi ya watoto na wanawake katika jamii hususan kwa jamii za kifugaji kupitia shirika lake na kuahidi kuwa serikali watatoa ushirikiano katika mapambano hayo.


Aidha Mh.Mwangwala ameisihi jamii kubadilika na kuachana na mila potofu zinazoweza kuhatarisha maisha ya watu hasa kwa wanawake na watoto watokao katika jamii hiyo.


Kwa upande wake Bi.Rose amesema kuwa shirika hilo linajishughulisha na utetezi wa haki za watoto na wanawake katika kutokomeza ukatili wa kijinsia zaidi katika jamii za kifugaji ambako imeonekana kuwa kitovu cha ukatili huo kwa baadhi ya watu.


 Bi.Rose ameongeza kuwa lengo la warsha hiyo ni kukutanisha na kuwaleta pamoja  mabaraza ya wanawake pamoja na viongozi wanawake waliochaguliwa au kuteuliwa na mifumo iliyowekwa wilayani Ngorongoro kama vile Polisi dawati,Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa -TAKUKURU- na wadau wengine ambao wanashirikiana katika kutokomeza vitendo hivyo na kujenga mtandao utakao wezesha upatikanaji wa haki wa vikundi hivyo viwili.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti diwani wa viti maalumu Mh.Juliana Samawa ambaye amesema kuwa ukatili wa kijinsia ni mgumu na haupendezi katika jamii na kusema yeye angependa kuona jamii inapewa elimu, ili waweze kufahamu kuwa vitendo hivyo  ni hatari ndani ya jamii hivyo ni vyema wanawake na watoto wakapata haki zao za msingi.


Warsha hiyo ya siku moja imehudhuriwa pia na wadau wengine ambao ni wakuu wa idara mbalimabli kutoka halmashauri,dawati la jinsia wilaya,na baadhi ya wawakilishi wa wananchi kutoka kata tofauti.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA HALMASHAURI NGORONGORO LATAMBUA NA KUZIPONGEZA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI NA MICHANGO YA WADAU WA ELIMU, KFW, THOMSON Safaris na PWC ZAPONGEZWA. MIL 3.5 ZATOLEWA KAMA ZAWADI.

    February 21, 2026
  • TANAPA, FZS NA KFW WAUNGANISHA NGUVU KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KISASA YA SHULE YA MSINGI SOITSAMBU.

    February 18, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASAHURI YA WILAYA YA NGORONGORO LIMEPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI 2026/2027.

    February 13, 2026
  • UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

    February 10, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.