• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

SHULE ZA SEKONDARI ZILIZOFANYA VIZURI MITIHANI YA KITAIFA ZATUNUKIWA VYETI VYA PONGEZI

Posted on: February 24th, 2019

LOLIONDO ,ARUSHA

Halmashauri kuu ya CCM katika kikao chake imewatunuku vyeti vya Pongezi kwa Shule za Sekondari zailizofanya Vizuri katika Mitihani ya Kitaifa 2018 ya Kidato cha pili kidato cha nne na Kidato pili

Aidha katika shule iliyoibuka kwa Kufanya Vizuri katika Mitihani ya Kidato cha sita nafasi ya Kwanza ni Embarway Sekondari,nafasi ya Pili ni Loliondo Sekondari na nafasi ya Tatu ni  Nainokanoka Sekondari kati ya Shule Tatu  za Kidato cha sita  zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro 

Akizungumza katika kikao hicho ,Naibu waziri wa Waziri WA Elimu na Sayansi na Tekinolojia Mh.William Olenasha Ambae pia ni Mbunge wa Ngorongoro  amezipongeza shule zote zilizofanya Vizuri na Kuahidi kutoa zawadi kwa shule ambazo zitafanya Vizuri katika Kuteleleza na kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo 

Wakati wa Ugawaji wa tuzo hizo kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw.Peter Juma ameeleza kuwa shule hizo wamezipanga katika makundi tofauti  kulingana na Ushindi wa nafasi ya kwanza hadi ya tatu katika Mitihani ya Kitaifa ya kidato cha pili ,Kidato cha nne na kidato cha sita

Pia katika Mitihani ya Kitaifa ya Kidato cha 4 shule iliuokuwa kinara ni Sale Sekondari imeshika nafasi ya Kwanza ,Shule ya Sekondari Lake Natron Nafasi ya Pili kifwatia na Nafasi ya Tatu ni Shule  ya Sekondari Loliondo kati ya Shule kumi na moja za sekondari zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro



Katika Mitihani ya Kidato cha Pili shule ya Sekondari Loloondk imeibuka kididedea kwa kushika nafasi ya Kwanza kufwatiwa na Shule ya Sekondari Arash na Nafasi ya Tatu imeshikwa na Shule ya Sekondari Emanyata kati ya Shule kumi na Moja  za sekondari zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro


Aidha Shule ya Sekondari Arash pia ilipata Cheti cha Pongezi kwa kuwa shule zinazoibuka kufanya Vizuri kulinganisha na Matokeo yake ya Mwaka 2017



Imetolewa na Kitengo

Habari na Mawasiliano

Hakmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.