• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAOMBI YA UDAHILI KWA MUHULA WA MACHI, 2019.

Posted on: January 18th, 2019

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAOMBI  UDAHILI  MWEZI MARCH 2019 

BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDITAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAOMBI YA UDAHILIKWA MUHULA WA MACHI, 2019

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa Sheriaya Bunge Sura ya 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu yaufundi katika vyuo vinavyotoa mafunzo kwa ngazi za Astashahada, Stashahada naShahada ambavyo si Vyuo Vikuu au Vyuo Vikuu Vishiriki nchini. Mojawapo yamajukumu ya Baraza ni kuhakikisha kuwa mafunzo yanayotolewa katika Vyuo vyaElimu ya Ufundi yanakidhi vigezo na ubora unaohitajika katika soko la ajira ndani nanje ya nchi.Baraza linapenda kuufahamisha umma kuwa Udahili wa wanafunzi katika ngazi yaAstashahada na Stashahada kwa kozi zote isipokuwa Ualimu utaanza kutoka tarehe15 Januari, 2019 hadi tarehe 20 Februari, 2019. Udahili katika Muhula huu waMachi, 2019 utahusisha vyuo vyote vilivyo na nafasi na uwezo wa kupokeawanafunzi wapya. Vyuo vya Serikali vinavyotoa mafunzo katika sekta ya afyahavitahusika na udahili huu.Aidha, wahitimu wote wa Elimu ya Sekondari na Vyuo wenye sifa za kujiunga nakozi za Astashahada na Stashahada wanataarifiwa kutuma maombi yao yakudahiliwa moja kwa moja vyuoni. Waombaji watakao chaguliwa na vyuowatakavyomba watawasilishwa NACTE kwa ajili ya uhakiki kabla ya kufahamishwakujiunga na mafunzo. Masomo kwa watakaochaguliwa na kuhakikiwa yataanzatarehe 5 Machi, 2019.Baraza lina shauri vyuo na taasisi zote zitakazo dahili wanafunzi kwa Muhula waMachi, 2019 kuhakikisha kuwa wanazingatia taratibu za matukio ya udahili kamazilivyo kwenye Kalenda ya Udahili (Admission Calendar) inayopatikana kwenyetovuti ya Baraza.Pia Baraza linawashauri waombaji na wazazi kuhakikisha kuwa wanaomba kwenyeVyuo vilivyokidhi ubora ambavyo vimeorodheshwa kwenye Kitabu cha Mwongozowa Udahili kwa mwaka 2018/2019 (Admission Guidebook for 2018/2019).Mwongozo wa Udahili unapatikana katika tovuti ya NACTE: www.nacte.go.tz.IMETOLEWA NA:OFISI YA KATIBU MTENDAJIBARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)TAREHE: 11/01/2019

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • BARAZA LA HALMASHAURI NGORONGORO LATAMBUA NA KUZIPONGEZA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI NA MICHANGO YA WADAU WA ELIMU, KFW, THOMSON Safaris na PWC ZAPONGEZWA. MIL 3.5 ZATOLEWA KAMA ZAWADI.

    February 21, 2026
  • TANAPA, FZS NA KFW WAUNGANISHA NGUVU KUBORESHA MIUNDOMBINU YA KISASA YA SHULE YA MSINGI SOITSAMBU.

    February 18, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI HALMASAHURI YA WILAYA YA NGORONGORO LIMEPITISHA RASIMU YA MPANGO WA BAJETI 2026/2027.

    February 13, 2026
  • UFUATILIAJI WA KINA KUFANYIKA KUBORESHA AFYA KWA WATOTO WENYE CHANGAMOTO YA LISHE.

    February 10, 2026
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2026
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/2026
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • Taarifa kwa Umma
  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025/-2026
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.