• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TASAF YAKABIDHI MIRADI ILIYOTEKELEZWA KATA YA SALE

Posted on: April 17th, 2019

Sale -Ngorongoro

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro kupitia idara ya TASAF katika  mpango wa kunusuru kaya maskini imekabidhi miradi sita kwa vikundi vya wakinamama na vijana katika kata ya sale wilayani Ngorongoro.

Lengo la mradi huo ni  kunusuru kaya maskini chini ya Mpango wa kupunguza Umasikini ambayo mpaka sasa imewezesha wananchi wa Kijiji cha Sale kutekeleza miradi yenye kuleta tija kwa wananchi kama sehemu ya Mkakati wa Taifa wakupunguza Umasikini.

Akielezea  miradi hiyo kwa Mgeni rasmi mratibu wa TASAF Wilaya Ngorongoro Bw. Luther Zablon amesema kijiji cha Sale kina jumla ya walengwa wa kaya maskini 354, ambao wapo kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini na wamekuwa wakipata ruzuku ya msingi na masharti  kwa lengo la kuakikisha watoto wanapata huduma ya kliniki na kuanzia miaka mitano kuhudhuria shule.

        Kijiji cha Sale kilipata ufadhili wa miradi sita (6) kutoka TASAF III PSSN chini ya Mpango wa kupunguza Umasikini TPRP III unaofadhiliwa na OPEC III. Miongoni mwa miradi hii Mradi mmoja ni wa Umwagiliaji na Miradi mitano 5 ya Vikundi vya uzalishajimali, Vikundi viwili miradi ya ushonaji wa vyerehani, miradi miwili miradi ya ushonaji shanga na kikundi kimoja mradiwa mashine ya kusaga.

Akitaja miradi hiyo Bw. Zablon amesema wananchi wametekeleza  mradi wa umwagiliaji uliogharimu kiasi cha shilingi 74,998,465.91.ikiwa  ni pamoja na na fedha  za usimamizi na aslimia moja na nusu (1.5) za kijiji.Mfereji huo wa umwagiliaji unakusudi la kupunguza tatizo la upotevu wamaji kabla ya kufika maeneo husika.

Pia ameeleza kuwa vikundi vya ushonaji kwa cherehani vimepatiwa vyerehani sita (6)kila kimoja na majora ya nguo kwa kuanzia na mafunzo mbalimbali kuhusu uendelevu wa vikundia ambayo ni zaidi ya milioni kumi kumi na tisa  na yataendelea kutolewa na sekta kwa kushirikiana na wadau wengine na baadaye miradi hii itajitegemea.

Akizungumza na wanavikundi Mgeni Rasmi Bw.Emanuel Sukums,Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro  amewaeleza wanavikundi kutunza na kuzalisha  miradi yote waliokabidhiwa ili ilete tija katika maisha yao

Pia amewaeleza kuwa ziada inayopatikana katika miradi hiyo iwasaidie katika maisha yao lengo ni kujikwamua katika wimbi la umasikini  na amewataka viongozi kusimamia miradi yote ili iwe na manufaa kwa walengwa.Bw.Sukums alimalizia kwa kusisitiza wasimamizi wa mradi ikiwa vikundi husika wakisaidiana na wataalam washauri kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Ngorongoro.

Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.