• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TIMU NNE ZAINGIA NUSU FAINALI YA MBWA MWITU CUP 2018

Posted on: November 12th, 2018

TIMU NNE ZAINGIA NUSU FAINALI YA MBWA MWITU CUP 2018

Ngorongoro,     Arusha

Jumatatu 12,November 2018

Ligi ya mbwamwitu cup imefikia  katika hatua ya robo fainali baada kushuhudia timu nyingine mbili kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali   ambazo zinaungana na timu ya Mount Lengai kutoka Malambo na   Home boys   FC kutoka Digodigo zilizotangulia kufuzu hatua hiyo.

Timu ya Kurugenzi  FC ambao, walikuwa nyumbani kuwakaribisha White Flamingo wameibuka kidedea baadaa kupata ushindi wa jumla goli 2-1 na kujipatia tiketi ya kufuzu kucheza nusu fainali katika mashindano haya.

Mchezo huo ulikuwa wa vuta nikuvute ambapo timu zote zilikuwa zikishambuliana kwa zamu,na hatimaye Kurugenzi FC wakapata goli la kwanza kunako dakika 38 ya mchezo lililofungwa naye Gabriel Mwaikombe, na hadi kipindi cha kwanza kinakamilika Kurugenzi FC walienda  mapumziko wakiwa na goli 1-0.

Kipindi cha pili kilianza kwa mshikemshike hadi dakika ya 50 ya mchezo  ambapo White Flamingo walipata penat,na kupata goli la kwanza na  la kusawazisha.

Matokeo hayo yalidumu hadi kunako dakika ya 81 ya mchezo ambapo Kurugenzi FC walijipatia goli la pili kupitia  mwiba mkali yuleyule Gabrel Mwaikombe  akirudi nyavuni na kupachika goli hilo la ushindi.

Na matokeo hayo yalitosha kufanya timu ya Kurugenzi FC kujiandikia tiketi ya kucheza nusu  fainali katika mashindano haya,huku Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ngorongoro Ndugu Raphael Siumbu  akishuhudia Mchezo  huo.

Katika mchezo mwingine wa kufuzu hatua ya kufuzu kucheza nusu fainali ilikuwa kati ya Nyuki Rangers ambao walikuwa wenyeji kwa kuwaakaribisha Loliondo FC na tukishuhudia Loliondo  wakifuzu kucheza nusu fainali kwa kuifunga Nyuki Rangers mbali  na kuwa yumbani kwa jumla ya goli 2-1 huku magoli ya Loliondo yakifungwa na Ally Ngoma na Halid Wantala na mchezaji Fanuel Andrea akifungia Nyuki Rangers  goli moja kwa njia ya penati.

Matokeo hayo yanafanya timu hizo ya Loliondo FC, Kurugenzi FC na Mount Lengai FC pamoja na Home Boys kukutana katika hatua ya nusu fainali wiki ijayo tarehe 17 na 18 -11-2018

Imetolewa na 

Kitengo cha habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro


Mchezaji wa Kurugenzi FC Bwana Gabriel Mwakiombe akinyanyuliwa Juu kwa furaha na mashabiki wa Kurugenzi FC baada ya kuifungia timu yake jumla ya mabao mawili dhidi ya White Flamingo FC katika viwanja vya Wasso Shule ya Msingi

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw.Raphael Siumbu akizungumza na wachezaji pamoja na mashabiki  baada ya Mchezo  baina na ya Kurugenzi FC na White Flamingo kumalizika katika viwanja vya wasso shule ya msingi


 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw.Raphael Siumbu akisalimiana na Dr.Kunei aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Ngorongoro (Mstaafu) katika viwanja vya shule ya Msingi Wasso


 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Bw.Raphael Siumbu akitazama mchezo baina ya Kurugenzi FC na White Flamingo katika viwanja vya shule ya msingi Wasso

Kikosi cha Timu ya White Flamingo FC wakiwa tayari kuanza mchezo baina ya Kurugenzi FC


Kikosi cha Timu ya Kurugenzi  FC wakiwa tayari kuanza mchezo wa kukabiliana na  kikosi cha timu ya White Flamingo ya Pinyinyi


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.