• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

TUSHIRIKI KULINDA MIUNDOMBINU KWA MAENDELEO YETU-DC MWANGWALA.

Posted on: August 27th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro Mhe. Raymond Stephen Mwangwala amewasihi wananchi wilayani hapa kuiunga mkono serikali kwani imesogeza huduma za kijamii karibu na wananchi wilayani Ngorongoro ili kuwapunguzia adha ya kufuata huduma mbali.


Ameyasema hayo ijumaa ya  tar 25/8/2023 wakati akitembelea na kukagua miradi ya afya,elimu na miundombinu ya barabara inayotekelezwa na serikali kuu pamoja na wadau wa maendeleo ambapo amewasihi wananchi kushiriki kwa kulinda miundombinu hiyo na ubora wake na wazazi  kuwapele watoto wote shule na wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya kwani shule na vituo vya afya vinajengwa na kumafikika kupitia miundombinu ya barabara ambayo pia imeboreshwa,huku akiwaagiza wakandarasi kuzingatia vipimo na ubora wakati wa ujenzi.


Kwa upande wake Julius Fanuel  mshauri ufundi wa nyanda za malisho na maisha kutoka Frankfut Zoological Society ofisi za Loliondo amesema miradi wanayoitekeleza chini ya mradi wa maendeleo ya ikolojia ya Serengeti ukiwa na lengo la kupunguza msukumo wa wananchi kuvamia maeneo ya hifadhi za taifa ambao unafadhiriwa na Wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani kupitia benki ya watu wa ujerumani yani KFW pamoja na frunkfult zoological society.


Naye Nkunzi james Nyabakari mhandisi miundo ujenzi kutoka kampuni ya Osaka Construction Ltd kwa niaba ya wajenzi wa miradi hio amesema wanajenga majengo 18 katika vijiji 16 ambavyo ni Ngarwa,Nan,Sakala,Mondorosi,Sero,Enguserosambu,Oloipiri,Lemishiri Magaiduru,olorien Magaiduru,Mageri,Samunge,Ngobereti,Arash,Ormanie na Olalaa.


Miradi iliyo kaguliwa na Mhe. Mwangwala ni barabara ya kipambi,madarasa mawili shule ya lopolun,shule ya njoriet,shule tarajali ya kirtalo mbopong losirw ambayo itatapisha shule ya kirtalo yenye wanafunzi zaidi ya elfu moja(1,000) madarasa ya mradi wa bust shule ya msingi Ololosokwani ,Ololosokwan sekondari,ujenzi wa nyumba ya watumishi kituo cha afya sero,barabara ya KFW Mairowa-Njoroi,zahanati ya Njoroi,zahanati ya mondorosi na madarasa katika shule ya msingi Sukenya.

.......End......

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.