
Kaimu Mkurugenzi Bw.Victor Kaiza akimkaribisha mgeni rasmi Mh.Rahid Mfaume Taka Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro kwenye ufunguzi rasmi wa mashindano ya Mbwamwitu Cup 2018 katika viwanja vya Shule ya Msingi Wasso

Mh.Rashid Mfaume Taka Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro akiwasili katika viwanja vya shule ya Msingi Wasso katika Mji wa Wasso Loliondo

Mgeni Rasmi Mh.Rashid Taka Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro ,akiambatana na Viongozi wengine wakikagua timu ya Kurugenzi FC nna Serengeti FC kabla ya mechi kuanza

Mh.Rashid Taka (Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro)Mgeni Rasmi akijiandaa kupiga Penati kama ishara ya ufunguzi rasmi wa mashindano ya MBWAMWITU 2018

Mgeni Rasmi akikagua Timu zote mbili ya Mkurugenzi FC na Serengeti FC kabla ya mechi kuanza

Timu ya Kurugenzi FC wakiwa katika picha ya pamoja

Timu ya Serengeti FC wakiwa katika picha ya pamoja

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.