• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UFUNGUZI WA MAONESHO YA 19 YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI 2023

Posted on: August 3rd, 2023

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar  Mhe. Zubeir  Maulid amesema kuna umuhimu wa kuhakikisha wanawake na vijana wanaandaliwa kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya Kilimo, Uvuvi na Mifugo.


Kauli hiyo ameisema alipokuwa akifungua maonesho ya nanenane na sherehe za Wakulima na Wafugaji Kanda ya Kaskazini.


Amesema sekta  ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji imekuwa na mchango mkubwa katika nchi.


Amesisitiza kuwa maonesho ya nanenane yatumike kuhakikisha teknolojia za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji zinawafikia wananchi.


Lengo la maonesho ni kuongeza mnyororo wa thamani ili kuongeza zaidi fursa za upatikanaji wa chakula na kujenga uchumi wa mtu mmoja.


Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema zaidi ya  asilimia 60 ya watanzania wapo kwenye sekta ya kilimo na uvuvi hivyo huchochea maendeleo.


Amesema maonesho hayo yamezidi kuimarika kila mwaka kwa kuleta tija kwa wananchi kwani wanapata elimu tofautitofauti kila mara.


Pia, maonesha haya yanaendelea kuleta chachu ya mabadilika katika sekta ya Kilimo,Uvuvi na Ufugaji.


Nae, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga akizungumza kwaniaba ya wakuu wa Mikoa ya Manyara na Kilimanjaro amesema lengo la maonesho hayo nikutoa elimu kwa njia ya kuona na kubadilishana uzoefu kwa mikao hiyo 3.


Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya nanenane ambae pia ni Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Missaile Musa amesema maandalizi yalianza mwezi Aprili kwa kuandaa vitaru katika maeneno tofautitofauti.


Maonesho ya nanenane Kanda ya Kaskazini yamefunguliwa rasmi Agosti  3 yakiwa yamebeba kauli mbiu isemayo "Vijana na Wanawake ni msingi imara wa mifumo ya chakula", na yanatarajiwa kufungwa Agosti 8.


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • RC KIHONGOSI AKABIDHIWA OFISI RASMI.

    June 30, 2025
  • RC KIHONGOSI AWASILI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • SERIKALI YATENGA BILIONI 11 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO SHULENI.

    June 21, 2025
  • NGORONGORO YAVUKA ASILIMIA YA MAKUSANYO MWAKA WA FEDHA 2024/2025

    June 18, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.