• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATA YA OSINONI TARAFA YA NGORONGORO UMEANZA

Posted on: November 27th, 2018

Ngorongoro,     Arusha

Jumatatu 27,November 2018

Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Mgufuli kupitia Wizara ya Wazee jinsia na watoto imetoa shilingi milioni mianne  400 kwa kata ya Osinoni iliopo tarafa ya Ngorongoro Wilaya ya Ngorongoro  ili kujenga kituo cha Afya.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Wilaya Ngorongoro Bw.Rafael Siumbu  alipotembelea kata hiyo ili kushuhudia ujenzi unaoendelea ambapo ametaja kufurahishwa na kazi inayoendelea na wananchi wa eneo hilo kujitolea kufanya kazi inayowahusu ili kukamilisha kazi ya ujenzi hiyo.

Hata hivyo amesema pamoja na kuunga mkono juhudi za serikali za kuleta maendeleo,kituo hicho ni miongoni mwa vituo vya Afya vinavyojengwa Tanzania nzima na serikali ya Awamu ya Tano pamoja na hayo Bw Raphael  Siumbu  amesema kandarasi anayejenga kituo hicho amehaidi kukabidhi kituo hicho fikapo tarehe 7 January 2019, nakutoa wito  kwa wanachi wanaojengewa vituo hivyo kote kutoa ushirikiano ili kukamilisha kazi hizo mapema.

Kwa upande wake mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya  Ngorongoro  na Diwani wa kata ya Arash Mh.Mathew Siloma ameshukuru serikali ya awamu ya tano kwa kutoa shilingi milioni 400 ili kufanikisha ujenzi wa kituo hicho na kusema kuwa halmashauri ya wilaya Ngorongoro  wameshatoa shilingi milioni thelathini  ili kuunga mikono juhudi za serikali za kutaka kujenga jengo la OPD na kutoa rai kwa kamati husika ili kusimamia  na kuzingatia ubora wa ujenzi wa kituo hicho.

Naye mjumbe wa kamati ya ujenzi katika kituo hicho na diwani wa kata ya Endulen Mh Emanuel Shangai amesema kuwa ameridhika na kazi inayofanywa na kandarasi na kamati itaendelea kushughulikia changamoto zilizopo ili kazi hiyo ikamilike kwa Wakati.

Imetolewa na 

Kitengo cha habari na Uhusiano 

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Moja ya majengo ya kituo cha afya Osinoni likiwa katika hatua ya msingi


Nyumba ya Mganga ikiwa katika hatua ya lenta kwenye ujenzi wa kituo cha afya Osinoni

Mweyekiti wa Kamati ya Fedha na Mipango Mh.Methew Siloma(Diwani kata ya Arash) akikoroga zege kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Osinoni wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi Huo


Makamu Mweyekiti wa Kamati ya Fedha na Mipango Emanuel Shangai(Diwani kata ya Arash) akikoroga zege kwenye ujenzi wa Kituo cha Afya Osinoni wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya Ujenzi Huo


Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.