• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na dhamira
    • Misingi mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji na Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
    • Kata
      • Loliondo
        • Ololosokwan
        • Soitsambu
        • Enguserosambu
        • Maalon
        • Oloirien Magaiduru
        • Piyaya
        • Orgosorok
        • Oloipir
        • Arash
      • Ngorongoro
        • Alailelai
        • Naiyobi
        • Olbalbal
        • Nainokanoka
        • Kakesio
        • Ngorongoro
        • Eyasi
        • Endulen
        • Ngoile
        • Alaitolei
        • Misigyo
      • Sale
        • Sale
        • Malambo
        • Digodigo
        • Oldonyosambu
        • Samunge
        • Pinyinyi
        • Kirangi
        • Engaresero
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezw
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi

UKAGUZI WA ENEO LA UJENZI WA SEKONDARI MPYA KATA YA MAALON WAFANYIKA:.

Posted on: January 25th, 2024


Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro Mhe. Mohamed Bayo ameambatana na Ndugu Abubakar Gati Katibu Mkuu CCM Wilaya ya Ngorongoro pamoja na Bw. Emmanuel Sukumus, Afisa Elimu Sekondari Wilaya pamoja na viongozi wa Divisheni mbalimbali ikiwemo Divisheni ya maendeleo ya jamii na Divisheni ardhi katika kukagua eneo la kujenga Sekondari mpya katika eneo la kijiji cha Sitet kilichopo Kata ya Maalon

Aidha ukaguzi wa eneo hilo umehusisha makubaliano na maridhiano ya ujenzi wa shule hiyo baina ya Serikali na Viongozi wa eneo hilo. Ambapo Diwani wa kata hiyo Mhe. Damian Rago ameongoza zoezi la upimaji wa eneo hilo, pia amesema wananchi wapo tayari kutoa ushirikiano katika ujenzi wa Shule hiyo.


"Sisi kama wanakijiji tutahakikisha tunatoa ushirikiano wowote utaohitajika pia mahitaji ya ujenzi  kama mchanga na mawe vipo Karibu na eneo hili hivyo itarahisisha ujenzi, pia tunapenda kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea miradi mingi ya maendeleo hapa Wilayani kwetu". amesema Mhe. Damian.

Hata hivyo Afisa Elimu Sekondari amewapongeza viongozi wa kata ya Maalon Kwa kuchagua eneo lenye sifa stahiki kwa ujenzi wa Sekondari hiyo mpya, pia amewaasa viongozi wa kata hiyo kuepuka migogoro ili kazi hiyo ifanyike Kwa ufanisi


"Niwapongeze kwa kuchagua eneo zuri la kujenga Sekondari, mradi huu wa uboreshaji wa Shule za Sekondari utaenda kuwanufaisha Wananchi wa eneo hili hivyo muwashirikishe wananchi kikamilifu pia niwaase viongozi kuepuka migogoro na mivutano yeyote kwani itakwamisha zoezi hili kufanyika ipasavyo" amesema Bw. Sukumus


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya ngorongoro Mhe. Mohamed Bayo amewapongeza Viongozi wa kata hiyo Kwa kuonesha juhudi za maendeleo


Hata hivyo Mhe. Bayo amefikisha salamu kutoka Kwa Mbunge wa Wilaya ya ngorongoro kuwa Mhe. Mbunge amewaomba wananchi wa eneo hilo kuonesha ushirikiano ili zoezi hilo lifanyike Kwa haraka.

Kwa upande wake Katibu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ngorongoro amesifu jitihada za viongozi Kwa kushirikiana na serikali ya awamu ya sita wa kutambua umuhimu wa Elimu katika jamii pia amewashauri wananchi wa kata hiyo kuwapa viongozi ushirikiano.


"Niwapongeze Kwa kutambua jitihada za kuboresha elimu katika wilaya yetu pia niwashauri kutoa ushirikiano Kwa viongozi ili Jambo hili lifanikiwe pia viongozi ni wakati wakuitisha mikutano na wananchi ili kuondoa mivutano na kuongeza ushirikiano" amesema Ndg. Abubakar Gati


Wananchi wa kijiji cha Sitet kimetoa eneo lenye ukubwa wa Hekari 55.6 kwaajili ya ujenzi wa Sekondari mpya inayotarajiwa kuaanza kujengwa hivi karibuni.

Ikumbukwe kuwa jitihada zote za maendeleo na miradi ya maboresho Wilayani ngorongoro inafanyika kutekeleza Ilani ya chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020/2025 chini ya Dk.Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • TANGAZO LA RATIBA YA UCHAGUZI NA UANDIKISHAJI WA UCHAGUZI. September 26, 2024
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. October 01, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI.2. September 29, 2024
  • MATOKEO YA USILI WATENDAJI WA KIJIJI. September 29, 2024
  • Tazama zaidi

Habari Mpya

  • NGORONGORO MSTARI WA MBELE KUHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

    May 09, 2025
  • KISIMA CHA MAJI SAFI KUCHIMBWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA NGORONGORO

    April 25, 2025
  • ZIARA YA MWENYEKITI WA HALMASHAURI TARAFA YA NGORONGORO.

    April 28, 2025
  • WANAFUNZI 576 WA KIDATO CHA SITA KUFANYA MTIHANI WA TAIFA NGORONGORO.

    May 06, 2025
  • Tazama zaidi

Video

Afisa kilimo Ngorongoro aeleza na kufafanua namna ya kupata mazao yenye afya na mbegu bora kutumia katika kilimo.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matokeo ya Upimaji darasa la Nne 2019
  • Taarifa na Matangazo
  • Mikataba na Miongozo
  • machapisho mbalimbali
  • Habari kwa umma
  • Taarifa kwa Umma
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA ELIMU YA KATI NA VYUO VYA UFUNDI JUNE 2019.
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 NGORONGORO

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Rais
  • Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
  • NGORONGORO DC YOUTUBE CHANEL
  • MATOKEO YA UPIMAJI DARASA LA NNE 2019 WILAYA YA NGORONGORO

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017 NDC . Haki zote zimehifadhiwa.